Recent content by bennyblanco

  1. bennyblanco

    Ukulima wa kahawa kwa maendeleo ya wakulima na pato la taifa (dhahabu shambani)

    Pote hapo wameshatosha kupokea wanafunzi walisema wamepata wanafunz wengi wa field
  2. bennyblanco

    Ukulima wa kahawa kwa maendeleo ya wakulima na pato la taifa (dhahabu shambani)

    Nipo kagera na nimesomea kahawa lakini bado ajira ndio tatizo na ufaulu wangu uko vizuri kama unafahamu mtu kwenye shirika lolote la kahawa niunganishe tafadhari
  3. bennyblanco

    Ukulima wa kahawa kwa maendeleo ya wakulima na pato la taifa (dhahabu shambani)

    Kahawa imekuwa zao muhimu la biashara nchini Tanzania kwa zaidi ya karne moja, ikichangia kwa kiwango kikubwa uchumi wa taifa na ustawi wa wakulima wadogo. Hata hivyo, katika miaka ya hivi karibuni, mabadiliko makubwa yameonekana kwenye sekta hii, ambayo yamebadilisha maisha ya wakulima wa...
Back
Top Bottom