Recent content by Benny_kulwa

  1. Benny_kulwa

    Nichague gari gani kati ya Toyota CHR na Toyota Rush?

    Hiyo rush ina sura mbaya sana, although naziona ona bongo, cjui watu wanazipendea nn., bora CHR, iko na ka futuristic look japokua toyota wamezidisha coners and angles ila ni gari nzuri... utakua na kafeeling kama unamiliki ki URUS chako😅😅
  2. Benny_kulwa

    Naomba ufafanuzi kuhusu Ku upgrade Gari kwa kuchongesha kwa mafundi mtaani

    Correction, sio car max ni auto max, huyo automax, tttr an upholstery co. Wote wapo mikocheni, dar
  3. Benny_kulwa

    Naomba ufafanuzi kuhusu Ku upgrade Gari kwa kuchongesha kwa mafundi mtaani

    Sio tttr tu, hao wanaofanya mods wako weng sana saiv, kuna hao TTTR, car max, upholstery co etc, na hao ni maarufu, bado wale ambao majina hayajakua sana, vile vile inategemea unataka kufanya mods gan
  4. Benny_kulwa

    Nichague ipi kati ya Nissan Fuga New model au Toyota Crown new model

    Don't know kama ushanunua au bado, ila the thing is ni gari za class moja. Vile vile hujasema ni new model ya mwaka gani so zote nitachukulia ni za kuanzia 2009 kuendelea 1.they are both sedans with engines 2.5l -3.5l ni wewe tu na mfuko wako. Tofauti iliyopo ni fuga kua grand tourers ndio...
Back
Top Bottom