Recent content by benluv

  1. benluv

    Ukiona mwanaume hakupi hela mpaka umuombe jua kuwa wewe huna thamani

    pweeeeintiiiii hii... mzee agiza soda kwa bili yako. umenena vyema kabisa siyo kwamba mwanaume ni mgumu kutoa pesa ,bali unatoa pesa kwa mwanamke wa aina gani?? ana mapenzi nawewe?/ ana kitu cha ziada anaku offer?? au hilo tundu lake tu ambalo hata kimboka waweza kulipata?? ngoja niishie hapa...
  2. benluv

    Mapenzi hayamsaidii mwanaume kupata hela zaidi ya kutoa hela

    hao hii maada wapo upande wa dada zao, nao kama wao tu
  3. benluv

    Mapenzi hayamsaidii mwanaume kupata hela zaidi ya kutoa hela

    PWEEEEIIIINTIII.... We unamuita mwanamke aje mahali walau mnywe,mle mpige story ..cha ajabu anakuja na bodaboda halafu anakuja kukuomba hela akamlipe boda ,na ukute 2,000 tu... pumbafuu. hivi unategemea mwanamke kama huyu atakuinua au kukudidimiza??/ Bora ujitengee 30,000 yako jitoe nenda ukale...
  4. benluv

    Ushauri: Jinsi ya kudai kurudishiwa fedha ya kishika uchumba

    hahahahahahahaha na kweli aisee
  5. benluv

    Je, ni kabila gani uliambiwa usioe/ usiolewe nalo na kwanini?

    NI MTAZAMO TU, MBONA MIMI NIMEOA MUIRAKI....NA MAISHA HOYA HOYA KAMA ZOTE YAANI... FULL SHANGWE,FULL FURAHA
  6. benluv

    Nizingatie nini na kwenda kuonana na ndugu wa binti wa kimeru

    umetiririka vizuri mkuu.... nafuata nyayo zako,ila mimi ntarekebisha uliposhindwa mambo yaende sawa sawia
  7. benluv

    Wanaume badilikeni fanyeni maendeleo, umri haurudi nyuma!

    pole magdalena..... jina zuri takatifu unaenda kwa mlefiii...pole
  8. benluv

    Chai yenye tangawizi nyingi ya kusagwa ni noma wakuu

    mdalasini kama mdalasini wenyewe tu..... unaleta ashki mwanzo mwisho
  9. benluv

    Kuwa single mother siyo laana, msiwaseme vibaya

    mapenzi yasikupofushe
  10. benluv

    Nataka kumuoa huyu binti ila tabia zake zinatetemesha sana

    hahaahahah...mimi ninaye mmoja ni MUIRAKI....wa babati hapo..acha kabisa... Ukikuta neno i love you kwa sms,basi atakuwa kaandikiwa... hawako romantic kiviileee...ila wanaonesha kabisa jinsi anavyokupenda.. halafu wana wivu sana, anaweza hata kukukata kitendea kazi..ukimletea za kuleta
  11. benluv

    Chai yenye tangawizi nyingi ya kusagwa ni noma wakuu

    hii nimeichukua pweintiii
  12. benluv

    Chai yenye tangawizi nyingi ya kusagwa ni noma wakuu

    ongezea na mdalasini ule wenyewe.....usiosagwa....... chemsha kwa dawa ya kienyeji,basi we jinywee tu.... balaa lake congo cha mtoto
  13. benluv

    Nipo Rwanda, hao Wanawake mnaowasifia kwa uzuri mbona siwaoni?

    we itakuwa ulikuwa RUBAVU HUKO RWANDA , Siyo Chigali yetu tunayoijua
  14. benluv

    Mrejesho: Nimerejea kazini baada ya sekeseke langu kupata utatuzi

    sasa jet lumo kuna mdada wa kukubananisha kweli?? mbona wapoli pori tu kule
Back
Top Bottom