Recent content by Benitho Richard

  1. Benitho Richard

    SoC02 Wazazi/Walezi na Jamii sisi ni wajenzi wa tabia za Mtoto

    Wazazi wajitahidi kukaa na watoto wao kwa ukaribu sana kwa malezi Bora ndani ya pikindi cha miaka 4 hadi 13. Tofauti na hapo kumbadilisha mtoto kwenye Tabia fulani ni ngumu tena...........
  2. Benitho Richard

    SoC02 Matatizo hubadili tabia za watu

    Kuna watu ambao walipitia shida nyingi sana enzi za utotoni na ujanani mwao; kuanzia kula yao, kusoma kwao, kulala kwao, kuvaa kwao, nk kulikuwa ni kwa shida sana. Kiufupi tu ni kwamba walipitia maisha magumu sana. Watu hawa waliushinda umasikini kupitia elimu, biashara au shughuli nyingine na...
  3. Benitho Richard

    SoC02 Nimefanikiwa kuwa Daktari kwa msukumo wa mama ambae ni kichaa, alibakwa akanizaa mimi

    Lazma jamii ijifunzekitu kutoka kwako hasa vijana wengi hatuamini katika ndoto zetu na kuhishibila malengo mwishowasiku kujikuta sehemu tusiyokua tumeihitaji.
  4. Benitho Richard

    SoC02 Hospitali za Rufaa kuwaachia majukumu yote ya kitabibu wanafunzi wa udaktari pasipo usimamizi wa kutosha - chanzo cha vifo vingi

    Uvivu wamadaktari husika usisababishe vifo vyawatu.kufanyakaz kwamazoea hadikuleta wanafunzi kufanyamzaa kwa uhai wamtu.sisawa kabisa
  5. Benitho Richard

    Rais Samia aonya vikao vya Polisi kudhaminiwa

    Ni sawa kabisa kwa utekelezaji wa kazi.
Back
Top Bottom