Recent content by Benhorta

  1. B

    Je, Halotel Unlimited Internet ya 50,000 kwa mwezi ni nzuri?

    ndio upo sahihi hizo 100gb ni za speed nzuri baada ya kuzimaliza then ndio unashushiwa speed
  2. B

    Je, Halotel Unlimited Internet ya 50,000 kwa mwezi ni nzuri?

    Bei ni ileile mkuu 50k speed wameboresha kidogo ila kikomo cha bando bado ni 77gb+25gb zile za mwanzo baada ya hapo unapata mbps 2-3, ambayo sio mbaya kwa kulinganisha na bei.
  3. B

    Kwanini nje ya wachaga ni nadra kukuta kampuni kubwa za watanzania wengine wa asili ?

    Mwazo niliposoma kichwa cha habari niliona kana kwamba kimejawa na ukabila, lakini baada ya kusoma maelezo yote nimekuelewa, mkuu. Kuna jambo la kujifunza hapo.
  4. B

    Wezi wamevunja fremu na kuiba, sijui naanza hatua gani hapa wakuu. Naombeni msaada wenu

    Nenda kwa mjumbe, Pia piga simu na M/kiti wa mtaa wako usikae kimya.
  5. B

    Je, Halotel Unlimited Internet ya 50,000 kwa mwezi ni nzuri?

    Ok, nimekuelewa, ila sasa kwa matumizi yangu itakuwa ngumu kugundua ukomo wa hiyo speed ya 2Mbps. Kwa mimi, matumizi yangu hayazidi GB 400+ kwa mwezi, kwa hiyo sijawahi kugundua ukomo wa hiyo 2Mbps. Ila, kwa maelezo yao kutoka customer care kuwa hiyo 2Mbps ni unlimited, tatizo ni kwamba mara...
  6. B

    Je, Halotel Unlimited Internet ya 50,000 kwa mwezi ni nzuri?

    ukimaliza Gb 25 za mwazo wanakupatena GB 77 za ziada na baada ya kumaliza hizo zote ndio speed inashushwa mpaka 2mbps.
  7. B

    Je, Halotel Unlimited Internet ya 50,000 kwa mwezi ni nzuri?

    Kwasasa, baada ya malalamikko kuwa mengi angalau wamepandisha speed kutoka 0.5 mbps to 2 mbps
  8. B

    Je, Halotel Unlimited Internet ya 50,000 kwa mwezi ni nzuri?

    Halo shop ulipoenda wamekudanya ukweli ni kuwa toka tarehe moja wame weka sera mpya ambapo kikomo cha GB kimeshuka kutoka 350 hadi 100, na ukishamaliza hizo gb 100 tena wameshusha speed kutoka 3mbps hadi 0.512mbps kwaiyo kwa speed iyo hakuna kitu utaweza kufanya zaid ya browser. Pia, Halotel...
  9. B

    Je, Halotel Unlimited Internet ya 50,000 kwa mwezi ni nzuri?

    NEW UPDATES: Halotel wamepunguza kikomo cha gbs kutoka Gb 350 hadi Gb 100 , baada ya kumaliza GB 100 hizo, kasi ya intaneti imepunguzwa kutoka 3Mbps hadi 0.4Mbps. , Kwa mabadiliko haya, kifurushi hiki kimepoteza sifa ya kuitwa "unlimited" kabisa na kwa wale waliokuwa wanatarajia kujiunga sasa...
  10. B

    Je, Halotel Unlimited Internet ya 50,000 kwa mwezi ni nzuri?

    Shida hiyo unaipata baada ya kuisha hizo gbs 25? , rudia kusoma hapo juu kuna kitu wanafanya speed throttling, yaani kuna limit ya jumla kwa mwezi na limit ya siku, ukifikisha kiwango cha mwisho kwa siku wanakushushia speed kwa siku iyo. mimi nimeunga tena mwezi huu licha changamoto nilizoziona...
  11. B

    Je, Halotel Unlimited Internet ya 50,000 kwa mwezi ni nzuri?

    Uatumia kwenye router au simu kawaida? kukatika na kurudi kwa mtandao ni kweli na nishida ipo ata kwenye line zao za kawaida Halotel mtandao haupo stable, pia hapo nimesahau kuelezea speed ya UPLOAD nimeongelea Download tu, Bora umenikumbusha kuwa baada ya kama gb 100 hivi kuisha Upload huwa...
  12. B

    Je, Halotel Unlimited Internet ya 50,000 kwa mwezi ni nzuri?

    Mwisho la kuzingatia na ni muhimu kifurushi hicho hakina mkataba wowote unaoingia nao na kampuni husika, mfano wakati najisajili na huduma ya Tigo POSTPAID niliingia mkataba wa 2 year's moja ya faida ya mkataba huo ni kuwa terms za mkataba hazito badilika mpaka muda utakapo kwisha. Kwaiyo...
  13. B

    Je, Halotel Unlimited Internet ya 50,000 kwa mwezi ni nzuri?

    Then, wanahichi kitu wanaita speed throttling , yaan ikitokea kwa siku moja umetumia gbs nyingi basi wanakulimit speed mpaka ipite hiyo siku then after 24 hour's wanakurefrsh unaanza upya tena.
  14. B

    Je, Halotel Unlimited Internet ya 50,000 kwa mwezi ni nzuri?

    Speed inashuka mpaka 3mbps to 15, depends na eneo & muda. Mfano kuanzia saa 12 jioni mpaka saa 5 usiku speed inachezea kati ya 3-7. Ukifikisha gb 350 speed inashuka mpaka 500kbps to 3 Mbps hapo utaichukia internet. Kifurushi hicho kinawafaa watu wenye matumizi ya kati wenye matumizi yasio...
  15. B

    Je, Halotel Unlimited Internet ya 50,000 kwa mwezi ni nzuri?

    kuhusu kifurushi cha Halotel M2M, huduma hii ina faida na hasara zake kulingana na aina ya matumizi yako. Kulingana na matumizi yangu kwa mwezi, hapa kuna maoni yangu: 1. Je ni unlimited kweli? Kifurushi hiki sio "unlimited" kwa maana ya kupata internet bila kikomo kwa kasi ya juu kila...
Back
Top Bottom