Leta n amri zipi zmebadlishwa...au kubadl unamaanisha mchanganuo wa lugha...leta amri ipi imebadl mfano biblia imesema usile wao wakaleta ule...
Sent from my TECNO P5 using JamiiForums mobile app
Umekuja vzr lkn unasahau kitu kimoja ni wap hapo upapa unapotokea kama pembe ndogo...ni mataifa gani yalianguka kupisha utawala wa papa hapo...ukumbuke hata kabla ya mwaka 476 upapa ulikuwepo na kabla ukristo haujawa dini ya rumi mwaka 330 mapapa walikuwepo na waliuliwa sana wakiifia...
Haya ukimaliza hyo aya ya kuhusu kahaba uje kwny aya hizi unambie n lin hao wafalme kum walfanya vita na mwanakondoo na uwataje hao wafalme kumi wny shaur moja na huyo mnyama waliyeshirikiana nae....ukishindwa nitakusaidia
Revelation 17:12-14,16
[12]And the ten horns which thou sawest are ten...
Mm nijichanganye tena
Revelation 17:16
[16]And the ten horns which thou sawest upon the beast, these shall hate the whore, and shall make her desolate and naked, and shall eat her flesh, and burn her with fire.
Na zile pembe kumi ulizoziona, na huyo mnyama, hao watamchukia yule kahaba, nao...
Labda kwa faida yako tu na wengne iko hvi kanisa katoliki lko centralized na lna vyombo maalum vya kutolea taarifa...siku utakapoona kanisa lmeruhusu ushoga au kuona lnafungsha ushoga tanzania ujue n worldwide namm ntakua wa kwanza kutoka tutapishana mlangon
Mimi nnao uwezo wa kukuelezea huyo mnyama vichwa vyake saba na pembe kumi na nkavitaja kila kichwa hadi huyo mnyama wa pili na kahaba tokea kwny biblia had historia...ukinijibu ntaendelea kukufunulia kimoja baada ya kingine...mm ntatumia maswali tokea kwmy hoja zako kma nlvoanza kukuulza hapo...
Mbna nlkuulza toka kwny hoja zako hukunijibu labda nkuulize tena hapa katika ufunuo 17 wanasema zle pembe kumi(wafalme kumi) kulokotokea pembe ndogo ambayo ww waita ndo papa inasema watafanya vita na mwanamke kahaba na kumuacha uchi na kumteketeza kabsa...nkauliza je n lini papa alimshambulia...
Unamfahamu mfalme Nimrod aliyekaa babeli na kuleta kuabudu miungu...au hujui kma ibada zte za miungu zlianzia babeli?au hujui Israeli yakaa ikizungukwa na mataifa ya babeli yaliyokua yakiabudu miungu...au hata upagan wa warumi na mashariki ya kati yte hujui ulitokea wap?au bx hujui hata miji...
Ukisema karne ya 15 unamaanisha miaka ya 1400-1499 ss je marthin luther alikuepo kipin hiki au unataka kutudanganya pia...mna unajaribu kuleta kila unachoweza il kujarbu kuwin na hoja ishakukataa ss...maswal yngu hujbu unakimbia
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.