Habari,
Nilikua naomba kuuliza, hivi ni lazima kwa wanafunzi wanaoendelea na masomo ambao wameomba mkopo kupeleka majina yao chuo ili waweze kutumiwa matokeo yao bodi ya mkopo?
Na kama mtu hajatuma matokeo yake anaweza kupata huo mkopo?
Ni kuomba Mungu tu lakini batch zinakuwaga nyingi na muhimu kuwa mvumilivu tu, mwaka jana walitoa mpaka batch ya 8 na pia ukikosa unaweza ukaappeal na ukabahatisha kupata
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.