Recent content by beancy

  1. B

    Wiki nzima bila kutongozwa

    Ni kitu cha kawaida mbona ; mimi nina mda mredu sana sijatongozwa lakini naona poa tuu hainiumizi akili..maybe because am very beautiful ndo maana:lol::lol:
  2. B

    Wanawake wakimachame si wakuoa!

    Mimi ni member wa JF na ni mmachame .sijawahi kucomment chochote katika forum hii; ila kwa hili nimeona niongee.Kama nilivosema ni mmachame na wanawake wamachame ni wanawake kama wanawake wengine .Sijui kwa nini watu wanapenda kuwasema vibaya kwamba wana roho mbaya , mara wakatili , sijui...
Back
Top Bottom