Kitu kimoja kati ya vingi alivyoviandika ni wakati wa mkutano aliohutubia na watu wengi waliohudhuria hawakubuguziwa na polisi wa kikoloni. Lakini kwa sasa polisi wa kiafrika katika taifa huru la kiafrika polisi wanawanyanyasa raia wao mwenyewe. SHAME ON YOU RAIS NA VYOMBO VYA DOLA.
Wewe vipi? Kama unaona kuna umuhimu wa kujadili uchumi kwani kuna mtu kakuzuia? Wewe jadili uchumi sisi tunamjadili Lissu. No REFORMS NO ELECTION basi.
Acha ujinga. Hakumkimbia bali aliondoka hapa Tanzania akiwa mahututi yaani alikuwa hana utambuzi na ufahamu wowote wa akili. Alikimbizwa na wasamalia wema ili kuokoa maisha yake. Muuaji alikuja kuuwawa na COVID. Sasa ni mifupa. No reforms. No election.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.