Recent content by Basuzwa

  1. B

    Naomba kufahamishwa juu ya sifa za kudahiliwa na certificate ya Nursing

    Ni ngumu sana hiyo maana inatakiwa angalau ufaulu wa daraja D kwenye chemistry,biology na Physics kwa certificate ya nursing.
  2. B

    Nahitaji kusoma kozi za Afya naomba ushauri

    Unaweza soma kozi ngazi ya degree au diploma, kutegemeana na uwepo wa nafasi cha kufanya jiandae kutuma maombi mara baada ya muda muafaka kufika.nadhani ni baada ya kutangazwa kwa matokeo ya kidato cha sita mwaka huu. maombi hufanyika kwa njia ya mtandao kupitia tovuti hizi...
  3. B

    Msaada jamani kuhusu chuo cha ualimu Tabora

    Wana JF mimi ni muhitimu wa kidato cha nne.mwaka huu nilituma maombi wizarani ya ualimu ngazi ya cheti kwa bahati nzuri nimechaguliwa chuo cha ualimu Tabora. Sasa tatizo ni kwamba joining instruction ya chuo hiki iliyopo mtandaoni inaonyesha mafunzo ya ualimu ngazi ya stashahada na mimi...
  4. B

    Msaada wenu wakuu

    Ahsanteni wakubwa
  5. B

    Msaada wenu wakuu

    Hivi mtu aliyerisiti mtihani wa kidato cha nne na akafaulu kwa kupata division 3 anaweza kupangiwa shule ya A-level ya serikali?
  6. B

    Matokeo ya CSEE 2012 Yabatilishwa.

    Naipongeza sana serikali kwa kufanya uamuzi huu wa kutengua matokeo ya kidato cha nne 2012.
Back
Top Bottom