Nikweli kaka hiyo bei nahisi hiyo hivyo ulivyo hisi wewe ila sio mbaya sana nikatika kunishauri
Mfano wa ramani hii kwa wilaya ya handeni Tanga (KABUKU) inaweza kuniharimu kiasi gani mafundi
Assalaam alaykum wana JF
Mimi ni mgeni nilikuwa nahitaji msaada wenu wenzangu je ili nijenge nyumba ambayo inaendana na yakisasa
Je, naweza kutumia gharama isiyo pungua bei gani na inayozidi kiasi gani napia mwenye ramani ya nyumba mzuri ya vyumba vinne anitumie katika WhatsApp no 0710915908...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.