Unamuitaje muafrika mwenzako muhamiaji Haramu? Kuna watanzania kibao wapo nje na wengi wamedanganya mpaka uraia wao ili waweze kuishi tena huko South Africa ulipotolea ndio wengi sana hawana hata vitambulisho. Africa ni moja kaka
Sidhani kama Jina la mtu ndio linahalalisha uraia wake, navyojua mimi Kasavubu kwa ni kigoma amewahi kuwa mwalimu wa secondary ya Mlole kigoma kabla hajajiendeleza kielimu udsm, pia amewahi kuwa coach wa soccer pia mwamuzi wa soccer
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.