Recent content by BARNABAS Jacob

  1. BARNABAS Jacob

    JamiiForums Tanzania Tangazo la ubia wa shughuli za kilimo

    Naitwa Barnabas Jacob Nyerembe. Natafuta mtu tunae weza kushirikiana katika shughuli za kilimo cha mazao mbali mbali. Nina Shamba lenye ukubwa wa Ekari 10 lipo kandokando ya ziwa Victoria pia liko kandokando mwa barabara kuu ya Mwanza - Bukoba katika wilaya ya Chato, Mkoa wa Geita, Kijiji...
Back
Top Bottom