Pasaka inategemea na kalenda ya kanisa katoliki. Yani kuna sikukuu lazima zikamilike zote kwenye kila mwaka, sasa hizo sikukukuu haziko fixed in terms of tarehe bali ni kutimia kwa siku kadhaa. Mfano, sherehe ya ubatizo wa bwana lazima iwe the next Sunday after x-mas so let's say tar 25...
Zanzibar yote ni chafuuuu, huna haja ya kutaja mkoa. Yani kale kakisiwa watu wake hawana kinyaa kabisa. Kwa mnaoendaga mahotelini mnaweza msilijue hili. Ila huko mitaani kumeozaa na sio issue ya serikali, watu wake ni wachafuuu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.