Recent content by Barbie tariq

  1. B

    SoC04 Bingwa wa Masuala ya Umma alitoa Ushauri wa Kukuza Uandishi wenye Tija nchini Tanzania kwa kutumia Akili Mnemba

    UTANGULIZI Mnamo tarehe 30 Juni 2024, Bingwa wa Masuala ya Umma alitoa ushauri muhimu kuhusu njia za kuongeza matumizi ya Akili Mnemba katika kuchochea uandishi wenye tija kwa maslahi ya umma katika miaka 5-25 ijayo na kujenga 'Tanzania Tuitakayo'. Mtaalamu alisisitiza kuwa kwa kufuata mikakati...
  2. B

    SoC04 Utumiaji wa teknolojia ya mfumo wa data wazi(open data) kama chombo muhimu katika mapambano dhidi ya rushwa na kuimarisha utawala bora nchini Tanzania

    "Tanzania tuitakayo kwa miaka 5 hadi 25" Katika mapambano dhidi ya rushwa na utawala bora UTANGULIZI Mfumo wa data wazi ni mfumo ambao unaruhusu ufikiaji wa data na taarifa bila vikwazo au vizuizi. Kuna mambo kadhaa yanayowakilisha mfumo wa data wazi kama vile data inapatikana bila malipo au...
  3. B

    SoC04 Mwanamke awezeshwe katika sayansi na teknolojia ili kuondoa unyanyasaji wa kijinsia na kukuza ustawi wa jamii, na taifa kwa ujumla

    Sayansi na teknolojia kwa mwanamke zina umuhimu mkubwa hasa kumpa fursa ya kujitegemea, kuwa na ushawishi katika jamii na kujenga mustakabadhi bora. Pia sayansi na teknolojia inaweza kuondoa unyanyasaji wa kijinsia. Kwa Tanzania tuitakayo kwa miaka 5 hadi 25 , ihakikishe mwanamke anashiri vyema...
  4. B

    SoC04 Mwanamke awezeshwe katika Sayansi na Teknolojia

    Nimuhimu sana kuwezesha wanawake katika sayansi na teknolojia kwa miaka ijayo kuanzia 5 hadi 25,hii itahakikisha mwanamke haachwi nyuma katika sayansi na teknolojia. Pia sayansi na teknolojia kwa mwanamke zina maana kubwa, zikimpa fursa ya kujitegemea, kuwa na ushawishi katika jamii, kujenga...
  5. B

    SoC04 Kuimarisha Elimu na Mafunzo ya Stadi Za Kazi Kwa Ajira Endelevu Tanzania

    Sekta ya ajira nchini Tanzania inalazimika kukabiliana na changamoto kadhaa, ikiwemo upungufu wa wafanyakazi wenye stadi na ujuzi unaotakiwa katika soko la ajira. Hili limekuwa ndio changamoto kubwa zaidi ambayo inahitqji kuangaliwa kwa umakini mkubwa katika miaka ijayo kuanzia miaka 5 hadi...
Back
Top Bottom