Usemacho ni kweli mwana haki, tangu jamaa alipotoa tuhuma tarehe 31.07.2013 mpaka hivi sasa hajasema chochote.Wabongo wana majunguuuuuuuuu.yalikuwa majungu tu,Morogoro Paralegal fanyeni kazi zenu
Nimekuwa nikichangia mara kwa mara kwenye mitandao ya kijamii lakini sijawahi kusifia post kama nitakavyofanya leo. Sababu za kuisifia post ya Mwanasheria Mwaipaja ambaye binafsi nimekuwa nikimsikia tu kupitia vipindi vake vya kisheria kwenye radio mbalimbali ni kwamba:
Kwanza Ameanza kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.