Mmemtaja Brother K. Yule anaitwa Kabuyenze Kirondera. Huyu jamaa alihamishiwa huku RITA akitokea NSSF. Huyu jamaa amekuja kuripoti akiwa amebeba kiti chake ambacho kinafanana na viti vya wafalme wa kale.
Kuna ktu kanitonya kuwa huwa amekuwa na tabia ya kuhama na hicho kiti kila anakokwenda...
Nimesoma maandiko mengi kuhusu uongozi wa NSSF uliopo sasa chini ya Bwana Erio ambaye wengine wanalibananga jina lake kwa kumgeuza mchaga na kumwita Urio. Usifikiri kuwa wanakosea, la hasha, wanafanya makusudi ili waonekane kuwa hawalijui jina lake. Wengine wao ni watu wake wa karibu ambao...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.