Wadau naomba kuuliza iv kama nina degree ya pharmacy alaf nataka nisome masters ya medicine,kama nitapiga kwanza postgraduate ya medicine then ndo nkapga masters ya medicne, je anawezekana naombeni msaada wenu
Wadau me nimechaguliwa bachelor of pharmacy KIU, ila naipenda sana medicine je kama nitachukua degree ya phamacy baaday naruhusiw kuja kusoma masters ya medicine ?
Vijana huo msaala wa second round ulinikut mwka jan, kama profl yko iko vlvle lazmaaa uchagulwe kat ya koz ulizoomba na kam prfl yko inaonesh ujafny aplctn ujue comptn imekuwa kubwa na umekosa, ivyo bas koz zilzobk hazna wa2 ndo unatakiw ujaze, unavyozd kuchelew koz ikshaja nayo inaondoka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.