Kila mwajiri ana taratibu zake mwingne baada ya siku 14 kazi unaanza wengine hata Miez 6 inategemea uhitaji na taasisi mfano kuna taasisi hadi ufike makao makuu ndo wakupangie wapi utaenda
Sent from my SM-G935U using JamiiForums mobile app
Mkuu hamna hata simu ukiripoti huondoki unasubiri wenzio wote mnafanyiwa training hadi saiv tunaingia kiukweli siku sio nying make hadi tarehe unaambiwa ya kuanza so ukiripoti ndo umefika
Sent from my SM-G935U using JamiiForums mobile app
HONGERA MWIFA nilikuambia andaa suti ya kwenda kuchukulia barua umetusua hongera hongeraaaaaaaaaaaa mwaka huuuuuu mungu katuona tukawe watumishi wema kwa utumishi uliotukuka
Na wale nilifanya nao usahili wawili niliwauliza wakasema wana not selected for null pdf kutoka chali wengine sijafanikiwa kuwasiliana ila kila anayepata ushuhuda wa status ni huo nilotoa
Bora uangalie ujue umekandwa kuliko usiangalie halafu utegemee pdf ikitoka utakuwepo ukakosa hayo maumivu yake sio poa ila kiukweli not selected for null ni ngumu kupata sijawah kusikia
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.