Recent content by BankxRobert

  1. B

    Biashara ya Vinywaji vikali

    Location nimepata majengo sokoni, Mr chonjo anabidi tu agawane na Mimi wateja wake hamna namna. Uoga mwingi ndio hutuchelewesha vijana
  2. B

    Biashara ya Vinywaji vikali

    Habarini ndugu, Nilikuwa naomba usharudi wa utaratibu unaohitajika kufungua duka na kuuza pombe kali Dodoma mjini. Ningependa niwe nauza jumla na rejareja. Natakiwa nianze wapi kama eneo tayari ninalo(urban area) ambapo kuna mzunguko wa watu na pub. Nina mtaji wa 20m
Back
Top Bottom