Kozi kama md si ku apply kabisa sababu niliona ufaulu wangu ni mdgo na saiz watu wengine wamefaulu niliapply pharmacy, radiology,dental lakini zote nilikosa nikapata st john pharmacy nikitegemea nitapata mkopo napo nikakosa
Nimepata one ya saba PCB nilikosa vyuo vya serikali nikapata vyuo vya private na mkopo sikupata wazazi wakasema Awana uwezo wa kulipa ada ya private nikuwa na waza niende veta nikajifunze ufundi au nisubiri mwakani ni apply tena
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.