Recent content by bankul

  1. B

    Nimekosa chuo naomba ushauri

    Kozi kama zipi ninaweza jaribu hapo udsm nzuri na sua?
  2. B

    Nimekosa chuo naomba ushauri

    Pharmacy st john
  3. B

    Nimekosa chuo naomba ushauri

    Kozi kama md si ku apply kabisa sababu niliona ufaulu wangu ni mdgo na saiz watu wengine wamefaulu niliapply pharmacy, radiology,dental lakini zote nilikosa nikapata st john pharmacy nikitegemea nitapata mkopo napo nikakosa
  4. B

    Nimekosa chuo naomba ushauri

    Nimepata one ya saba PCB nilikosa vyuo vya serikali nikapata vyuo vya private na mkopo sikupata wazazi wakasema Awana uwezo wa kulipa ada ya private nikuwa na waza niende veta nikajifunze ufundi au nisubiri mwakani ni apply tena
Back
Top Bottom