Recent content by BALOGUM

  1. BALOGUM

    Rais wa Benki ya Maendeleo Afrika kuzuru kaburi la Hayati Magufuli ni kiashiria alikuwa na mchango mkubwa katika maendeleo Afrika?

    Leo tarehe 10/02/2022 amewasiri Rais wa Benki ya Maendelo Afrika wilayani Chato kwa ajili ya kutembelea mahali alipozikwa aliyekuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Hayati Dkt. John Magufuri. Je, ni kiashiria kuwa Hayati Magufuli alikuwa ni Kiongozi bora ktk bara letu la Afrika?
  2. BALOGUM

    Jengo la TANESCO Chato, kubwa kuliko la Wilaya Temeke lenye wateja milioni na nusu

    Jengo lishakamilika tayari picha za zaman izo
  3. BALOGUM

    Wanaopinga kuanzishwa mkoa wa Chato hawana hoja

    Vipi kuhusu majengo na ofisi za serikali zipo pia za kutosha kama vipo basi waanze na uku ila kama hakuna hakuna sababu
  4. BALOGUM

    Wanaopinga kuanzishwa mkoa wa Chato hawana hoja

    We in unahis butiama panalingana na CHATO acha hoja na chuki zisizo namahana Mzee aliitengeneza CHATO ndo mahana haya yanatokea leo
Back
Top Bottom