Habari zenu wandugu ,dogo wangu kachaguliwa udom coz ya EDUCATIONAL TECHNOLOGY ,je hii coz inahusiana na nn na je ipo marketable kwenye ajiri,msaada hapo
Mm ni muhitimu Wa kidato cha sita mwaka huu, nmepata E flat je hapo nasoma advance diploma au ordinary diploma sihelewi hivi vitu msaada kwenu wajuzi, nmesoma CBG
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.