Sawa dada yangu Mmme mwema mtu hupewa na bwana. Unapoweka vigezo flani basi huna shida na mchumba. Halafu istoshe inaelekea wwe ni mcha mungu na ndio maana umeweka kigezo cha mcha mungu ni vema lakini kwa kiwango cha elimu ninaamini haujafanya chaguzi sahihi katika maneno nyako. Tangaza kanisani...
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 25 ninatafuta sugar mammy atakakekuwa na mapenzi ya dhati kwangu. Kama kunaatakayekuwa tayaru asisite tafadhali awasiliane na mimi kwa Email: info.bakema@yahoo.com
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.