Recent content by bakari hemedi

  1. B

    Mafunzo maalumu ya ualimu kidato cha nne mbona kimya?

    matokeo waliyotoa nacte ni ya wizara ya elimu, mfaham nacte ni tawi la wizara ya elimu, kwa kuwa wizara ilitoa tangazo kwamba hadi wenye4 masomo ya sayansi waombe, alafu wakafanya mabadiliko bila raia kufaham, kwa hiyo nacte wametangaza matoke ya waliochaguliwa ualimu kwa niaba ya wizara ya...
  2. B

    Majina ya wanafunzi walio chaguliwa kujiunga na vyuo vya ualimu 2014/2015

    joseph nitumie majina ya stashahada elimu ya awali 0659319766
  3. B

    Sijachaguliwa kujiunga na chuo, inaniuma sana

    kaka usijipe moyo hivyo vyuo vyote vimechukuwa stashahada ya elimu ya awali ingia necta angalia stashahada elimu ya awali vyuo vyote utaona vimebeba wanafunzi kuna demu1 amepata murutunguru na jamaa wa mwanza amepangwa tarime tc
  4. B

    Chuo cha Ualimu Maurice, Dar es Salaam

    sifa ni zilezile za kwenye tangazo la wizara, div4 ya 26 au27 kwa waliomaliza mwisho2012 na div4 ya 32 hadi 34 kwa waliomaliza 2013
  5. B

    Waliochaguliwa kujiunga na vyuo vya ualimu ngazi ya CHETI (Grade A) na STASHAHADA 2013/2014

    unasoma mwaka 1 unafanya mtihani ukifaulu unamalizia ngazi ya cheti mwaka wa 2 jumla unasoma miaka2 tu
  6. B

    Chuo cha Ualimu Maurice, Dar es Salaam

    wamafunzo rekebishi pia wanachukua tena wapo wengi tu
  7. B

    Chuo cha Ualimu Maurice, Dar es Salaam

    Acha kudanganya wenzako ww, aliekupa hizo habar amekudanganya na wiki hii utaumbuka
  8. B

    Waliochaguliwa kujiunga na vyuo vya ualimu ngazi ya CHETI (Grade A) na STASHAHADA 2013/2014

    huo ni uzushi mtupu usipende kuropoka vitu ambavyo hujavithibitisha, usisikie tu na ww ukaanza kuropoka, kwa taarifa yk mm nipo chuon hapa chuo cha serikali na wiki hii majibu yatatoka, walichelewa kwakuwa walikuwa wanaanda module za mafunzo rekebishi na waliokosa kidato cha5 awamu ya 2...
  9. B

    Chuo cha Ualimu Maurice, Dar es Salaam

    Chuo kina chukua wanafunzi wenye div1 hadi div4 ya 34 ya mwaka2013, chuo kinatoa kozi ya ualimu ngazi ya cheti(grade A) na ualimu wa chekechea, chuo kina walimu waliobobea ktk taaluma ya ufundishaji na hakija wahi felisha mwanafunzi, ada ya day ni laki7 na unaweza lipa kidogokidogo na boarding...
  10. B

    Chuo cha Ualimu Maurice, Dar es Salaam

    Chuo cha ualimu maurice kipo mbagala Dar, hakijawahi kufelisha mwanafunzi tangu2009 hadi leo. Ada kwa day ni laki7 na boarding ni million 1 na laki2. Kinatoa walimu wa Grade A(ngazi ya chet) na walimu wa chekechea. Wahi nafasi zipo. 0764394580
  11. B

    Waliochaguliwa kujiunga na vyuo vya ualimu ngazi ya CHETI (Grade A) na STASHAHADA 2013/2014

    hakuna cha uzito kazi ya selection ilimalizika tangu july18 kwa yale maombi ambayo deadline ilikuwa may 30 hapa Tz siasa ndio inasumbua kaka
  12. B

    Waliochaguliwa kujiunga na vyuo vya ualimu ngazi ya CHETI (Grade A) na STASHAHADA 2013/2014

    Zoezi la kuwapangia vyuo wanafunz wenye sifa lilimalizika mda mrefu tatizo kuna mambo ya siasa tu ndani yake
  13. B

    Waliochaguliwa kujiunga na vyuo vya ualimu ngazi ya CHETI (Grade A) na STASHAHADA 2013/2014

    Jamani website ya wizara ya elimu hatimae yafunguka lkn hakuna jipya zaidi ya matokeo ya sensa ya watu na makazi
  14. B

    Waliochaguliwa kujiunga na vyuo vya ualimu ngazi ya CHETI (Grade A) na STASHAHADA 2013/2014

    Kama ulifaulu phsc, chem, bios, maths na uliomba dip mkopo lazima upate kwani serikali inawahitaji nyny kama Almasi. Najua tumechoka kitaa ila subira ndio muhimu bado siku chache
  15. B

    Waliochaguliwa kujiunga na vyuo vya ualimu ngazi ya CHETI (Grade A) na STASHAHADA 2013/2014

    Wale wenye four za 26 na 27 mlikua wapi miaka yote hadi mnabahatisha mwaka hu? Mnajuta sana, coz miaka ya nyuma mlikuwa mnachaguliwa na hizo four zenu sasahiv maji shingoni. Lkn msife moyo bado hamja chelewa.
Back
Top Bottom