Barabara ya Maili moja(Loliondo) mpaka Lumumba kwa mazengo haipitiki na kizungumkuti.
Kwa miaka mingi sasa barabara hii haipitiki licha ya kuongezeka sana kwa wananchi wanaotumia njia hii kwenda kufanya shuguli zao za kiuchumi..Ni bara bara yenye asili ya tope tupu la mfinyazi iwapo mvua...
Huku kibaha mjini pwani mtaa wa Lumumba mvua ikinyesha tu shughuli hamna, wamama wajawazito wanakosa huduma kwenda hospitali wengine wanapoteza maisha..Tuwekewe hata kokoto tu kuingilike
Tangu sept 2 mpaka leo Dec 22 zimepita zaidi ya siku 90.Je, taratibu za manunuzi ikiwa na maana ya mkataba wa mtoa huduma mpya, zimekamilika??.Je mtoa huduma mkataba wake unaanza lini utekelezaji ikiwa ni pamoja na kuona ameanza kuingiza mabasi mapya kwenye mfumo??..tunataka kuona matokeo
Mngeanzisha VIP trips,basi nzuri na hamna kusimama humo ndani full Ac na pia mtu anaibook akiwa home na pia iwe na kagharama flan kamechangamka hata buku tatu from feeder to destination trunk..
au basi me naota tu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.