Recent content by badirika

  1. B

    JamiiForums Tanzania CCM Fahamuni kabisa: Kilichofanywa na Asha Rose Migiro ni uhaini na atakilipia

    Nimekuwa nikijiuliza swali kama hili.Rais na makamu wa rais hawatakiwi kuondolewa na chama bali na wananchi kupitia bunge au mahakama. kama sivyo ,basi katiba iliyopo ni mbovu sana. rais na makamu wa rais ameteuliwa na wananchi siyo chama au kundi fulani.
  2. B

    JamiiForums Tanzania Kuna watu kuzaliwa hapa duniani ilikuwa ni hasara kwa MUNGU na kwa binadamu. Watu kama Putin, Hiltler, Amin, Ayatollah nk hawakupaswa kuzaliwa

    Mao killed 78-80 million Joseph Stalin. : killed 20 milliom Genghis Khan :killed 40 million Adolf Hitler : killed 6 million Puttin : killed two million kuna watu wanainjoyi kwa kuua watu.daaah
  3. B

    JamiiForums Tanzania Kuna watu kuzaliwa hapa duniani ilikuwa ni hasara kwa MUNGU na kwa binadamu. Watu kama Putin, Hiltler, Amin, Ayatollah nk hawakupaswa kuzaliwa

    netanyahu anatetea haki ya kuishi ya wayahudi .ukiamua kuishi vyema na myahudi ,netanyau hana shida na wewe
  4. B

    JamiiForums Tanzania Kuna watu kuzaliwa hapa duniani ilikuwa ni hasara kwa MUNGU na kwa binadamu. Watu kama Putin, Hiltler, Amin, Ayatollah nk hawakupaswa kuzaliwa

    wewe naona unaumwa. usitaje jina la mkuu wako kwa ubaya.tafadhali sana.
  5. B

    JamiiForums Tanzania Kuna watu kuzaliwa hapa duniani ilikuwa ni hasara kwa MUNGU na kwa binadamu. Watu kama Putin, Hiltler, Amin, Ayatollah nk hawakupaswa kuzaliwa

    trump si mtetezi wa haki za binadamu? anakuwaje tena takataka
  6. B

    JamiiForums Tanzania Kuna watu kuzaliwa hapa duniani ilikuwa ni hasara kwa MUNGU na kwa binadamu. Watu kama Putin, Hiltler, Amin, Ayatollah nk hawakupaswa kuzaliwa

    duniani ni shida kuishi.ukiwa una enjoy ,wewe usiwe na wasi wasi na wanaoteseka .duuu
  7. B

    JamiiForums Tanzania Kuna watu kuzaliwa hapa duniani ilikuwa ni hasara kwa MUNGU na kwa binadamu. Watu kama Putin, Hiltler, Amin, Ayatollah nk hawakupaswa kuzaliwa

    Kwa hiyo hapa duniani tunaangalia ni upande gani tunanufaika .hili ni kweli kabisa.dunia iko complex sana aisee.ndiyo maana kuongoza watu ni kanzi ngumu sana.afadhali uongoze ng'ombe
  8. B

    JamiiForums Tanzania Kuna watu kuzaliwa hapa duniani ilikuwa ni hasara kwa MUNGU na kwa binadamu. Watu kama Putin, Hiltler, Amin, Ayatollah nk hawakupaswa kuzaliwa

    nyumbani kwangu tena? wee ,mie nawapenda wote bana.hawana shida kabisaa
  9. B

    JamiiForums Tanzania Simbachawene: Bado Katiba yetu ni imara, imetuwezesha kuvuka vipindi vigumu kwa amani

    kazi ipo.wanyakiusa wanasema mbombo ngafu.katiba inataikiwa ituletee maendeleo imara.sasa katiba yetu ina miaka zaidi ya hamsini na nchi bado ni maskini kwa sababu kuna vipengele vya katiba haviko sawa kabisa. kuhusu kulivusha taifa katika vipindi vigumu ni sahihi ,lakini makamu wa rais...
Back
Top Bottom