Nimekuwa nikijiuliza swali kama hili.Rais na makamu wa rais hawatakiwi kuondolewa na chama bali na wananchi kupitia bunge au mahakama. kama sivyo ,basi katiba iliyopo ni mbovu sana. rais na makamu wa rais ameteuliwa na wananchi siyo chama au kundi fulani.
Mao killed 78-80 million
Joseph Stalin. : killed 20 milliom
Genghis Khan :killed 40 million
Adolf Hitler : killed 6 million
Puttin : killed two million
kuna watu wanainjoyi kwa kuua watu.daaah
Kwa hiyo hapa duniani tunaangalia ni upande gani tunanufaika .hili ni kweli kabisa.dunia iko complex sana aisee.ndiyo maana kuongoza watu ni kanzi ngumu sana.afadhali uongoze ng'ombe
kazi ipo.wanyakiusa wanasema mbombo ngafu.katiba inataikiwa ituletee maendeleo imara.sasa katiba yetu ina miaka zaidi ya hamsini na nchi bado ni maskini kwa sababu kuna vipengele vya katiba haviko sawa kabisa.
kuhusu kulivusha taifa katika vipindi vigumu ni sahihi ,lakini makamu wa rais...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.