Recent content by badirika

  1. B

    JamiiForums Tanzania hivi kwa nini wanaharakati uchwara hawajawaomba msamaha watanzania kwa yaliyotokea M29?

    unataka nitoe siri?
  2. B

    JamiiForums Tanzania hivi kwa nini wanaharakati uchwara hawajawaomba msamaha watanzania kwa yaliyotokea M29?

    ilikuwa ni afadhali kodi zitumike lakini amani iwepo.sasa umejifunza nini? kodi zimetumika,damu imemwagika na huyo uliyemtaja anatawala kwa raha zake .hahahaha
  3. B

    JamiiForums Tanzania hivi kwa nini wanaharakati uchwara hawajawaomba msamaha watanzania kwa yaliyotokea M29?

    Kuwaambia vijana maskini wanadamane M29 Ilikuwa upumbavu uliyopitiliza sana .kwa sababu hizi zifuatazo: 1.unawezaje kuzuia uchaguzi siku ya uchaguzi? yani watu wametumia muda wao ,peza zao kuandaa uchaguzi harafu wewe unakuja kufanya fujo za kuzuia uchaguzi?kama kuzuia uchaguzi ilitakiwa...
  4. B

    JamiiForums Tanzania CCM inaweza kutuambia nani aliwaua waliouawa Oktoba 29?

    sisi tuliyosoma pychologia tunaweza kukuambia kuwa hawakustahili kuuliwa vile.mfano :siku moja nilienda pale hospitali ya milembe nikakutana na mgonjwa pale.kesi yake ilikuwa kwamba alimuua mke wake kwa kumpiga shoka shingoni.tukamuuliza kwa nini alifanya vile ? akasema nilikuwa namfundisha...
  5. B

    JamiiForums Tanzania CCM inaweza kutuambia nani aliwaua waliouawa Oktoba 29?

    mimi ukiniuliza nitakutajibu kirahisi sana maana iko wazi.lakini shida inakuja kwa nini waliuliwa na je hakukuwa na njia nyingine yakuwazuia wale wandamanaji haramu?kwa mfano : hukumu ya mwizi ni kifo? hukumu ya mtu anayefanya fujo ni kifo? hukumu ya anayefanya mandamano bila kibari ni kifo...
  6. B

    JamiiForums Tanzania CCM inaweza kutuambia nani aliwaua waliouawa Oktoba 29?

    mahakama ndiyo inaweza kutoa jibu ila siyo mwanasiasa
  7. B

    JamiiForums Tanzania Baada ya Tanzania Kuzisaidia nchi za Afrika kupata Uhuru nazo sasa zaisaidia Tanzania

    Si ndiyo ile msemo kwamba auaye kwa upanga atakufa kwa upanga? au nakoseaaa
  8. B

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Rais Samia anazindua Tume ya Rais ya Uchunguzi wa wahusika wa ghasia wakati na baada ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 2025

    WHEN THE HEART IS DIVIDED ,YOUR EYES CAN NOT EVEN SEE WHAT A DONKEY CAN SEE
  9. B

    JamiiForums Tanzania Vyama vya upinzani Namibia vyapinga uteuzi wa jaji kwenye tume ya uchunguzi Tanzania

    WHEN THE HEART IS DIVIDED ,THE EYE CAN NOT EVEN SEE WHAT A DONKEY CAN SEE
  10. B

    JamiiForums Tanzania Hakuna kufikiria kujiuzulu, kushinikizwa kujiuzulu, wala kupanga kujiuzulu

    kama kweli kuna shinikizo la kutaka makamu akiuzulu ,hapa kuna shida na CCM itakuwa haina mpango wa kuona taifa linaendelea huku watu wake wakiwa na umoja na mshikamano.tafsiri yake ni kwamba hatuko tayari kuyafanyia kazi yale ambayo ni mema ameyasema mhusika .kwa namna hiyo tutakuwa tumeamua...
  11. B

    JamiiForums Tanzania Rais Samia: Watanzania tuisaidie Tume iweze kufanya kazi yake na TUSIISUMBUE

    na watoa taarifa watapataje uhakika wa usalama wao? maana siyo unatoa ushirikiano then unajikuta vuko matatani. kwa mfano mimi ukiuliza nitakuonyesha kwa uwazi kabisa mwenye makosa ni nani.ili kuridhiana nafikiri tungetaja makundi na kada fulani kuwa hawa makosa yao yalikuwa haya bila kutaja majina
  12. B

    JamiiForums Tanzania Wanaharakati wanaichafua nchi yetu kuwa siyo sehemu salama kuishi ilihali mama zao wanaishi nchini kwa amani na utulivu bila bughudha na vitisho

    inaweza kuwa sawa.lakini narudia kusema ukweli maana msema ukweli ni mpenzi wa Mnungu.hakuna anayeichafua nchi kuliko anayewateka wanaojipa kazi ya kijinga ya kuikosoa serikali.kwani mkosoaji ana madhara gani kama utajirekebisha na kutenda sawa kulingana na ulivyokosolewa?
Back
Top Bottom