ilikuwa ni afadhali kodi zitumike lakini amani iwepo.sasa umejifunza nini? kodi zimetumika,damu imemwagika na huyo uliyemtaja anatawala kwa raha zake .hahahaha
Kuwaambia vijana maskini wanadamane M29 Ilikuwa upumbavu uliyopitiliza sana .kwa sababu hizi zifuatazo:
1.unawezaje kuzuia uchaguzi siku ya uchaguzi? yani watu wametumia muda wao ,peza zao kuandaa uchaguzi harafu wewe unakuja kufanya fujo za kuzuia uchaguzi?kama kuzuia uchaguzi ilitakiwa...
sisi tuliyosoma pychologia tunaweza kukuambia kuwa hawakustahili kuuliwa vile.mfano :siku moja nilienda pale hospitali ya milembe nikakutana na mgonjwa pale.kesi yake ilikuwa kwamba alimuua mke wake kwa kumpiga shoka shingoni.tukamuuliza kwa nini alifanya vile ? akasema nilikuwa namfundisha...
mimi ukiniuliza nitakutajibu kirahisi sana maana iko wazi.lakini shida inakuja kwa nini waliuliwa na je hakukuwa na njia nyingine yakuwazuia wale wandamanaji haramu?kwa mfano : hukumu ya mwizi ni kifo? hukumu ya mtu anayefanya fujo ni kifo? hukumu ya anayefanya mandamano bila kibari ni kifo...
kama kweli kuna shinikizo la kutaka makamu akiuzulu ,hapa kuna shida na CCM itakuwa haina mpango wa kuona taifa linaendelea huku watu wake wakiwa na umoja na mshikamano.tafsiri yake ni kwamba hatuko tayari kuyafanyia kazi yale ambayo ni mema ameyasema mhusika .kwa namna hiyo tutakuwa tumeamua...
na watoa taarifa watapataje uhakika wa usalama wao? maana siyo unatoa ushirikiano then unajikuta vuko matatani.
kwa mfano mimi ukiuliza nitakuonyesha kwa uwazi kabisa mwenye makosa ni nani.ili kuridhiana nafikiri tungetaja makundi na kada fulani kuwa hawa makosa yao yalikuwa haya bila kutaja majina
inaweza kuwa sawa.lakini narudia kusema ukweli maana msema ukweli ni mpenzi wa Mnungu.hakuna anayeichafua nchi kuliko anayewateka wanaojipa kazi ya kijinga ya kuikosoa serikali.kwani mkosoaji ana madhara gani kama utajirekebisha na kutenda sawa kulingana na ulivyokosolewa?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.