Recent content by badirika

  1. B

    JamiiForums Tanzania Live on TBC: Ridhiwani Kikwete yuko live, anaongea kama Jakaya Kikwete. Like father like son, atatufaa sana in future baada ya zamu yetu!

    mwaka 2030,uchAguzi utakuwa mguu saNa kwa CCM tangia dunia imekuwepo.ikivuka 2030 basi CCM itadumu milele.maana machungu ya 0ctoba 29,na mambo mengine mengi yatatumika kuiangusha au kuipa kazi ngumu CCM.
  2. B

    JamiiForums Tanzania Nini kifanyike kuteketeza uchawa ili rais ajaye asiwe mpenda au mfuga chawa?

    elimu kwanza kwa watanzania juu ya democratiia. watanzania wengi au waafrica kwa ujumla hatujui na hatuoni faida ya democratia. Tunaabudu mtu kama mungu.yani bosi asikosolewe .
  3. B

    JamiiForums Tanzania Samia Suluhu kumuomba Putin ampe Backup dhidi ya Donald Trump? Anamjua hayati Ayatollah Ali Khamenei?

    Sijui lakini.PUTIN ana damu nyingi mikoni mwake.wa ukraine kawafanyia kitu kibaya sana.
  4. B

    JamiiForums Tanzania CIA HUWA HAWABISHIWI. UKISHINDANA NAO BASI KABURI LITAKUHUSU

    Ni sawa na IRAN ,inajifanya mbabe wa kivita na huku mkuu wa usalama wa taifa anaua kinyamwa.binadamu hajawahi tumia akili tangia EDENI.Yani TANZANANIA tujifanye tunajua kuliko beberu? tena USA? COMMON.ukivuliwa nguo chutama ili yamkini akapita mtu akakusitiri ka nguo fulani. waheshimiwa hawa...
  5. B

    JamiiForums Tanzania The US bill mandates an assessment of Tanzania's military, economic and political cooperation with China

    mimi ni CCM.lakini hata MAGUFULI sikumwelewa.unasema eti mabeberu wanataka nchi yetu kwa sababu Ya rasilimali zilizopo.ndiyo .wanazitaka kwa sababu huna uwezo wakuzitumia .hatuna political will yakuzitumia ipasavyo.hatuna technologia.kinachotakiwa ni kwamba kaa mezani na hao mabeberu wambie...
  6. B

    JamiiForums Tanzania Marekani yaishambulia kwa makombora Iran kwa walichokiita ni hali ya kujilinda dhidi ya vitisho vya Iran

    kama marekani na israel wanataka kukaa salama duniani ni lazima wamwondoe mushia madarkani pale tehran bila hivyo hakuna usalama kwa mataifa haya mawili na nchi au falme zinazopakana na nyoka huyu
  7. B

    JamiiForums Tanzania Hizi mbinu za Kuficha Bunduki, zinaisaidia CCM au zinaiangamiza? Nani yupo nyumba ya huu mchezo?

    ile muvie ya wakatoliki iliisha wapi ? tuwe tunatumia akili hata kidogo kile tulichojaliwa na Mungu. labda tahira ndiye anaweza kudai haki kwa namna hiyo kwa kujiricord .hata kama sura hazionekani lakini sauti zinasikika.labda kama ulizaliwa na kuishi mbinguni .mimi ningekuwa mkuu wa usalama wa...
  8. B

    JamiiForums Tanzania Zimwi la Oktoba 29, limegoma kuzimika

    linaweza kuisha kama tukifanya haya 1.wanaharakati wote kuwaomba msamaha watanganyika kwa kuwadanganya kuwa wanaweza kuzuia uchaguzi siku ya uchaguzi kwa kutumia fujo kama zile 2.mamalaka husika kuzima fujo zile kwa kutumia nguvu kubwa kuwaomba msamaha watanzania na jumuia za kimataifa (...
  9. B

    JamiiForums Tanzania CHADEMA wameanza kusema ukweli wa Moyo

    nakubariana na wewe kabisa kwa sehemu.lakini hii slogan ilianza kama nakumbuka chadema ilipobadili uogozi since february 2025.na mpaka TL anakamatwa chanza ilikuwa slogan hii.ndani yake tuliona kuna uhaini. sisi kama viongozi tulifanya ni kuhakikisha ya 29 hayatokei? tulijifanya viziwi na...
  10. B

    JamiiForums Tanzania Zitto Kabwe: Mkuu Usalama wa Taifa (DGIS), Mkuu wa Jeshi la Polisi (IGP), Wakuu wa mikoa wapo ofisini hata baada ya mauaji ya Oktoba 29, 2025

    mimi ningeshauri tuchutame .tujenge yajao.kwa sababu tukiendelea kutafuta mbaya ni nani panaweza kuchimbika sana.technologia na sheria ni vitu naviogopa sana aisee. kuna watu wametulia lakini wanaweza kuhaki mazungumzo kwenye mitandao.kipindi kile nchi ilitaharuki kwa hiyo watu walikuwa...
  11. B

    JamiiForums Tanzania Kifo chenye utata cha Hayati Magufuli ndio chanzo cha CHADEMA kupata nguvu na kupendwa na Watanganyika

    CCM haiwezi kukabidhi madaraka kwa chadema.naomba mwnyewe uwezo asajili chama kingine cha siasa kabla ya katiba mpya tafadhali.Anifuate inbox nimpe ideology na nembo ya chama
  12. B

    JamiiForums Tanzania Wazo la Wiki: Kabla ya Kuendelea Tukubaliane Mambo haya 5 kwanza!

    Huwezi kusema unalinda amani huku unawanyima watu haki zao.utakuwa unajidanganya.na mahala pengine utatumia njia zisizo sahihi na zenye gharama kubwa sana ambazo zitakugharimu kisiasa na kiuchumi . Lililo la kweli ni hili: HAKI NDIYO MSINGI WA AMANI Katibu Mkuu Wizara ya Katiba na Sheria...
  13. B

    JamiiForums Tanzania Wazo la Wiki: Kabla ya Kuendelea Tukubaliane Mambo haya 5 kwanza!

    Njia pekee ni ku infiltrate the system .yani unajifanya kuwa mwana CCM na huku ni chama kingine kabisa.yani mkuu wa kituo cha police awe CCM kwa nje lakini ndani ni chama kingine kabisa.Mkuu wa kitengo chochote awe CCM kwa nje lakini ndani ni chama kingine kabisa.MBUNGE awe CCM kwa nje kumbe...
  14. B

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 UDASA: Kutokana na Ripoti ya Jaji Chande, Msingi wa amani na utulivu Tanzania ni haki, usawa, uwajibikaji, na kuheshimu haki za binadamu

    Mwanadamu yeyote ulimwenguni ukimnyima haki ata react anavyojua. historia inatuonyesha kuwa chanzo cha vita ulimwenguni ni kukosekana kwa haki.serikali za ulimwengu zimefeli kwa sababu ya kukosekana kwa haki . yaliyotokea octoba 29 ni matunda ya kukosekana kwa haki kwa makundi fulani katika...
Back
Top Bottom