mwaka 2030,uchAguzi utakuwa mguu saNa kwa CCM tangia dunia imekuwepo.ikivuka 2030 basi CCM itadumu milele.maana machungu ya 0ctoba 29,na mambo mengine mengi yatatumika kuiangusha au kuipa kazi ngumu CCM.
elimu kwanza kwa watanzania juu ya democratiia. watanzania wengi au waafrica kwa ujumla hatujui na hatuoni faida ya democratia. Tunaabudu mtu kama mungu.yani bosi asikosolewe .
Ni sawa na IRAN ,inajifanya mbabe wa kivita na huku mkuu wa usalama wa taifa anaua kinyamwa.binadamu hajawahi tumia akili tangia EDENI.Yani TANZANANIA tujifanye tunajua kuliko beberu? tena USA? COMMON.ukivuliwa nguo chutama ili yamkini akapita mtu akakusitiri ka nguo fulani.
waheshimiwa hawa...
mimi ni CCM.lakini hata MAGUFULI sikumwelewa.unasema eti mabeberu wanataka nchi yetu kwa sababu Ya rasilimali zilizopo.ndiyo .wanazitaka kwa sababu huna uwezo wakuzitumia .hatuna political will yakuzitumia ipasavyo.hatuna technologia.kinachotakiwa ni kwamba kaa mezani na hao mabeberu wambie...
kama marekani na israel wanataka kukaa salama duniani ni lazima wamwondoe mushia madarkani pale tehran bila hivyo hakuna usalama kwa mataifa haya mawili na nchi au falme zinazopakana na nyoka huyu
ile muvie ya wakatoliki iliisha wapi ?
tuwe tunatumia akili hata kidogo kile tulichojaliwa na Mungu. labda tahira ndiye anaweza kudai haki kwa namna hiyo kwa kujiricord .hata kama sura hazionekani lakini sauti zinasikika.labda kama ulizaliwa na kuishi mbinguni .mimi ningekuwa mkuu wa usalama wa...
linaweza kuisha kama tukifanya haya
1.wanaharakati wote kuwaomba msamaha watanganyika kwa kuwadanganya kuwa wanaweza kuzuia uchaguzi siku ya uchaguzi kwa kutumia fujo kama zile
2.mamalaka husika kuzima fujo zile kwa kutumia nguvu kubwa kuwaomba msamaha watanzania na jumuia za kimataifa (...
nakubariana na wewe kabisa kwa sehemu.lakini hii slogan ilianza kama nakumbuka chadema ilipobadili uogozi since february 2025.na mpaka TL anakamatwa chanza ilikuwa slogan hii.ndani yake tuliona kuna uhaini.
sisi kama viongozi tulifanya ni kuhakikisha ya 29 hayatokei? tulijifanya viziwi na...
mimi ningeshauri tuchutame .tujenge yajao.kwa sababu tukiendelea kutafuta mbaya ni nani panaweza kuchimbika sana.technologia na sheria ni vitu naviogopa sana aisee. kuna watu wametulia lakini wanaweza kuhaki mazungumzo kwenye mitandao.kipindi kile nchi ilitaharuki kwa hiyo watu walikuwa...
CCM haiwezi kukabidhi madaraka kwa chadema.naomba mwnyewe uwezo asajili chama kingine cha siasa kabla ya katiba mpya tafadhali.Anifuate inbox nimpe ideology na nembo ya chama
Huwezi kusema unalinda amani huku unawanyima watu haki zao.utakuwa unajidanganya.na mahala pengine utatumia njia zisizo sahihi na zenye gharama kubwa sana ambazo zitakugharimu kisiasa na kiuchumi .
Lililo la kweli ni hili: HAKI NDIYO MSINGI WA AMANI
Katibu Mkuu Wizara ya Katiba na Sheria...
Njia pekee ni ku infiltrate the system .yani unajifanya kuwa mwana CCM na huku ni chama kingine kabisa.yani mkuu wa kituo cha police awe CCM kwa nje lakini ndani ni chama kingine kabisa.Mkuu wa kitengo chochote awe CCM kwa nje lakini ndani ni chama kingine kabisa.MBUNGE awe CCM kwa nje kumbe...
Mwanadamu yeyote ulimwenguni ukimnyima haki ata react anavyojua. historia inatuonyesha kuwa chanzo cha vita ulimwenguni ni kukosekana kwa haki.serikali za ulimwengu zimefeli kwa sababu ya kukosekana kwa haki .
yaliyotokea octoba 29 ni matunda ya kukosekana kwa haki kwa makundi fulani katika...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.