Hahaha kakudanganya nani no 1 Mpk 3 vyote nimefanya kwa hela yangu,ila sijaolewa bado ni siri yangu na kaka na dada zangu tu.Hizo zingine nashirikisha third party ajinyooshe.Account namuonyesha ile ya mshahara baada ya kuhamisha.
Cha muhimu mrudushe kwao,hata ilitokea umempeleka kwenye maombi na akatulia .Pia hao spiritual waliomkaa hana sifa ya kukaa na mtoto,wakati mwingine wakiwa na roho za kichawi wanaweza kuhamishia kwa mtoto.Kuna MTU ameharibiwa mtoto wake hivi hivi na msaidizi.
Umarioo umekuuma sana kuletwa hapa
Hii mada imekugusa sana,tena wewe una had hi ya kunifanyia usafi kila nikiingia chooni kwangu tu.maana hats vyombo vya mama ntilie hutoweza kuoshA mteja akaridhika
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.