Recent content by Bablii.

  1. B

    JamiiForums Tanzania Msaada wa sheria za kazi

    Mkuu nashukuru kwa ushauri wako, nilimwambia huyo mwajiri kuhusu mkataba na kulipa kodi na mafao but kila nikimkumbusha anakuwa mkali that y nasepa
  2. B

    JamiiForums Tanzania Msaada wa sheria za kazi

    Mkuu hata kwangu ndio haohao. jamaa wabishi sana kulipa kodi hawa
  3. B

    JamiiForums Tanzania Msaada wa sheria za kazi

    Mkuu mimi sidhani kama nina kosa la kuhujumu nnchi hapo, coz mwajiri wangu ndo anatakiwa kunipa mkataba baada ya probation period kuisha. sasa yy nikimwambia hataki
  4. B

    JamiiForums Tanzania Msaada wa sheria za kazi

    Habari wana JF, mimi nilikuwa nafanya kazi na kampuni X kwa mda wa miaka miwili bila kuandikishiana mkataba wowote kisheria. nilikuwa nafanya kazi kwa makubaliano ya maneno ya mdomoni tuu na nilikuwa nalipwa kwa mwiso wa mwezi kama wafanyakaazi wengine walioajiriwa kwa written contract. sasa...
Back
Top Bottom