Hiv unadhani ni uchunguzi rahisi kiasi hicho..kwani waliofanya matukio hayo unadhani hawana akili..unadhani wamekurupuka bila kuwa na plan..unadhani hawajui wakikamatwa kitakachowakuta...au unadhani Polisi ni watabiri na malaika wa kujua aliyefanya matukio...
Hii ni Kwa mawazo yako jomba...kulingana na wewe unavyohisi na kuwaza...sasa kubaliana na wengine wengi ambao wamefurahi na jina Hilo kama mwanzilishi wa ujenzi wa project hiyo..kongole kwake mwendazake, RIP....mtetezi wa wanyonge na mpenda haki..tusimungunye maneno hapa..hata Rais wetu kipenzi...
Kesi ipi tena jomba..??embu tuhabarishe..la msingi msimuingize mama yetu na makesi yenu..reli imeshachukua kazi saizi...msitutoe nje ya reli..malizaneni wenyewe huko..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.