Kuna tozo zinazodaiwa kuwa ni za usafi wa mazingira, ambapo kiwango cha malipo kinatofautiana kulingana na aina ya biashara. Hata hivyo, wanaokusanya tozo hizi hudai ni kwa ajili ya usafi wa mazingira na huduma ya ukusanyaji wa taka kwa kutumia magari ya manispaa, ilhali huduma hizo hazitolewi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.