Recent content by baba_

  1. baba_

    Msaada vipele huwa vinakuja na nakupotea na maumivu makali

    huwezi amini kaka sili tigo na vinatoka hata usipofanya mapenzi
  2. baba_

    Msaada vipele huwa vinakuja na nakupotea na maumivu makali

    vinawasha vinatoa maji vina hama tu ila kwenyw mkanda wa nyuzi
  3. baba_

    Msaada vipele huwa vinakuja na nakupotea na maumivu makali

    picha hapo chini
  4. baba_

    Msaada: Naumwa fangasi sehemu za siri kwa muda mrefu

    nimeenda nikachoma powerfu mpk jana nimemaliz 9 ila hakuna kitu nimetumia dawa zakupa skderm cream na funbact-a ila bado
  5. baba_

    Msaada: Naumwa fangasi sehemu za siri kwa muda mrefu

    naenda ila hakuna tiba wananichoma powersef tu kama 9 ila hakuna nafuu
  6. baba_

    Msaada: Naumwa fangasi sehemu za siri kwa muda mrefu

    Habari zenu, naombeni msaada nimekuwa na tatizo la fungasi sehemu za siri kwa muda. Nilipima VDRL nikawa sina kitu ndio nikaambiwa kwamba ni fungus ila mpaka kujua hilo nilikuwa nimeanza kutoka vipele sehemu za siri haswa kwenye mkanda karibu na kichwa vinatoa maji na kuwashwa halaf baadae...
Back
Top Bottom