Habari zenu, naombeni msaada nimekuwa na tatizo la fungasi sehemu za siri kwa muda.
Nilipima VDRL nikawa sina kitu ndio nikaambiwa kwamba ni fungus ila mpaka kujua hilo nilikuwa nimeanza kutoka vipele sehemu za siri haswa kwenye mkanda karibu na kichwa vinatoa maji na kuwashwa halaf baadae...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.