Natanguliza salamu, pia nataka msaada wa ufafanuzi juu ya dhamana ya kesi iliopo mahakama ya mwanzo kesi ya madai na pia ya wizi. Je kunaurazima wa wadhamini wawili mmoja wapo awe mfanyakazi wa serikalini.
Au hili swala lipoje juu ya dhamana?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.