Me nawashangaa kwa kweli yaani kama vile hamzijui riwaya pendwa. Mtunzi nampa mia kwa mia maana ili kitu kilete hamasa lazima kiende tofauti na mategemeo ya hadhira ili kujenga huruma, chuki au furaha na km ingeenda ktk mategemeo ya watu bas tunasema mtunz kashindwa maana unaweza kutabili mwisho...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.