Recent content by baba na baba

  1. B

    JamiiForums Tanzania Naombeni Msaada wa kisheria Wakuu

    Na pesa imeingia sasa hivi baada ya kwenda ofisini kulalamika Leo ila haijatimia bado
  2. B

    JamiiForums Tanzania Naombeni Msaada wa kisheria Wakuu

    Mkataba unaelekeza hivo. Na pia barua inaelekeza hivo ila malipo nimelipwa kidogo tofauti na ninavyo dai
  3. B

    JamiiForums Tanzania Naombeni Msaada wa kisheria Wakuu

    Sawa mkuu Asante
  4. B

    JamiiForums Tanzania Naombeni Msaada wa kisheria Wakuu

    Ndio unaelekezwa ndani ya siku 14 za kazi ntakupwa pesa zangu nazo dai ila sijalipwa
  5. B

    JamiiForums Tanzania Naombeni Msaada wa kisheria Wakuu

    Habari wakuu naombeni msaada wenu Nilifukuzwa kazi nikapewa barua ya kufukuzwa na inaelekeza nitapewa madai yangu yote ndani ya siku kumi na nne (14)za kazi, ila Leo ni siku ya 16 sijalipwa chochote je naweza kuwashtaki waajili wangu.
  6. B

    JamiiForums Tanzania Wakuu Naombeni ushauri kuhusu matumizi ya mouth spray

    Shuklan mkuu 🙏
  7. B

    JamiiForums Tanzania Wakuu Naombeni ushauri kuhusu matumizi ya mouth spray

    Matumizi yake?
  8. B

    JamiiForums Tanzania Wakuu Naombeni ushauri kuhusu matumizi ya mouth spray

    Naitaji kutumia kwajili ya kupungiza harufu kinywani wakati naendelea na matibabu
  9. B

    JamiiForums Tanzania Wakuu Naombeni ushauri kuhusu matumizi ya mouth spray

    Nasumbuliwa na tumbo kuwaka moto, nahisi kukabwa na kitu kooni, natoa vitu vidogo vidogo kama mabaki ya chakula yaliyo Ganda kwenye Koo, sauti kukata nikiongea kwa sauti ya juu na kutoa harufu mbaya kinywa.
  10. B

    JamiiForums Tanzania Wakuu Naombeni ushauri kuhusu matumizi ya mouth spray

    Haribani wana jf naombeni ushauri juu ya matumizi ya mouth spray. Na niipi nzuri Kwa matumizi 🙏
  11. B

    JamiiForums Tanzania Acid reflux ni kivipi inasababisha harufu mbaya kinywani?

    Asante Dr Kwa kunifahamisha
  12. B

    JamiiForums Tanzania Acid reflux ni kivipi inasababisha harufu mbaya kinywani?

    Peptic ulcers ni nn? Naomba kufahamishwa
  13. B

    JamiiForums Tanzania Acid reflux ni kivipi inasababisha harufu mbaya kinywani?

    Asante sana🙏
  14. B

    JamiiForums Tanzania Acid reflux ni kivipi inasababisha harufu mbaya kinywani?

    Naomba kujua ulitumia dawa Gani mkuu
  15. B

    JamiiForums Tanzania Acid reflux ni kivipi inasababisha harufu mbaya kinywani?

    Ndio ni gred nilienda hospital nikaambiwa...ETN clinic
Back
Top Bottom