Recent content by Baba Lai

  1. B

    Walioomba uhamisho TAMISEMI majina out

    naomba msaada jinsi yakuandika barua ya uhamisho.
  2. B

    Ajira za walimu

    Wewe ni Libint kama mabint wengine,peleka matusi yako huko kwa vilaza wenzio,alafu inaonekana bichwa lako kubwa limejaa majitaka ndo maana unacoment uchafu.Na bahati yako walimu wana busara vinginevyo ningekuporomoshea ya nguoni.
  3. B

    Jamani kama kawaida ya fununu za ajira za walimu wapya

    Simu za screentouch zitawaumbua wengi.
  4. B

    Walimu wengi hawana vigezo na hawana uwezo wa kufundisha

    Mkuu hiyo NYAJI ondoa umpe jina la neno linalobaki.Huyu M..se... ana akili fupi kama maisha ya funza.
  5. B

    Walimu wengi hawana vigezo na hawana uwezo wa kufundisha

    Huyu mleta uzi hana tofauti na samaki anayeitwa KAMBA KOCHI.sifa kubwa ya huyu samaki ubongo na mavi zipo pamoja kichwani,kwa hiyo hapa ametumia ma....na sio ubongo.#NYAMBAFU .
  6. B

    Ajira za walimu 36,000 kumwagwa mwaka huu

    kweli mwishoni mwa next week yatatoka.
  7. B

    Ajira za walimu lini nmechoka

    Soon ajira zitatangazwa.mwezi huuhuu.
  8. B

    Msaada kuhusu gpa.

    level ya diploma mkuu.
  9. B

    Orodha ya vyuo bora na kozi wanazotoa

    Jamani samahanini kwa kuwa nje ya mada,naombeni msaada wa kujua SECOND CLASS ni GPA ya ngapi?
  10. B

    Kwa mwenye tetesi kuhusu matokeo kidato cha nne 2013 yanatoka lini naomba anijuze.

    Good news,Mungu awabariki wafaulu ili watimize malengo yao.
  11. B

    Msaada kuhusu gpa.

    Hamjambo wanajamvi wenzangu,naombeni mnijulishe kuwa SECOND CLASS ni GPA inayoanzia ngapi?please wadau nisaidieni. Ahsanten sana.
  12. B

    USHAURI:kwa Waalimu wa kiswahili na historia, jiandaeni kisaikolojia.

    Vipi kuhusu wale wenye masomo ya history-geography,history-language[english],kiswahili-geography na kiswahili-english? Naomba muongozo hapo mkuu.
  13. B

    Naelekea wizara ya Elimu na mafunzo ya ufundi

    Utata mtupu,yani hayo majibu ni sawa na daktari anayeogopa kumwambia mtu kuwa mgonjwa wako hatopona.TUENDELEE KUSUBIRINI TU NDUGU ZANGU ILA SINA IMANI TENA NA SERIKALI YANGU.
  14. B

    Naelekea wizara ya Elimu na mafunzo ya ufundi

    Utata mtupu,yani hayo majibu ni sawa na daktari anayeogopa kumwambia mtu kuwa mgonjwa wako hatopona.TUENDELEE KUSUBIRINI TU NDUGU ZANGU ILA SINA IMANI TENA NA SERIKALI YANGU.
Back
Top Bottom