Wewe ni Libint kama mabint wengine,peleka matusi yako huko kwa vilaza wenzio,alafu inaonekana bichwa lako kubwa limejaa majitaka ndo maana unacoment uchafu.Na bahati yako walimu wana busara vinginevyo ningekuporomoshea ya nguoni.
Huyu mleta uzi hana tofauti na samaki anayeitwa KAMBA KOCHI.sifa kubwa ya huyu samaki ubongo na mavi zipo pamoja kichwani,kwa hiyo hapa ametumia ma....na sio ubongo.#NYAMBAFU .
Utata mtupu,yani hayo majibu ni sawa na daktari anayeogopa kumwambia mtu kuwa mgonjwa wako hatopona.TUENDELEE KUSUBIRINI TU NDUGU ZANGU ILA SINA IMANI TENA NA SERIKALI YANGU.
Utata mtupu,yani hayo majibu ni sawa na daktari anayeogopa kumwambia mtu kuwa mgonjwa wako hatopona.TUENDELEE KUSUBIRINI TU NDUGU ZANGU ILA SINA IMANI TENA NA SERIKALI YANGU.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.