Upo sahh shida ya vijana wao kila kitu ni zima moto.. Utakuta mtu kamaliza chuo mda mrefu anashindwa kufatilia vitu vyake mapema.. likitokea jambo ndio pirika zinaanza alafu hawa hawa watakuja kutoa lawama kwa Serikali.. Me naona muda unatosha
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.