CDM hawana haja yakuvunjika moyo wanapendwa na wananchi wengi kuliko cmm ila tatizo ni moja wahimize uboreshaji wa daftari la wapiga kura vijana wanalisubiri kwa hamu kubwa. Itakuwa maajabu jamaa hawataamini macho yao kwenye chaguzi baada ya hapo. Itakuwa kichapo tu. Kama Arusha 5 bila.
Kwa sera ya gesi kwamba kila mtz anaweza lipwa m3 kwa mwezi kwa miaka mia na 20 iwapo wataingia madarakani itakuwa kichocheo kikubwa kwa ushindi wao wtz wanataka maneno ya matumaini sio mipango na mikakati ya miaka 50 ya hao jamaa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.