Wanawake wazuri na wenye sifa za kuolewa huja kwa mipango yake Mungu na si vile tutakavyo sisi wanadamu hivyo ni vyema kuwa na subira, utampata tu wa haki yako.
Ni vyema kua na maamuzi sahihi na ni vyema pia kuusikiliza Moyo wako ni nini unahitaji japo huyo mdogo alikuelewa mapema ila wewe ndio unajua ni yupi amekukaa nafsini,just listen to your heart.
Binafsi nimewahi kukutana na wanake kadhaa ambao wameng'olewa ving'amuzi huwa hawako huru hasa wakati wa kugegedwa, hawapendi kushikwa papuchi zao na huwa hawatoi ushirikiano kabisa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.