Hata kuwepo na jkt nchi itapata wazalishaji mali watumwa na sio wazalendo.....namba ya mlugo hii anaeweza mcheki 0754315922 na nimeipata kwa moja ya madiwani wa ccm txo itakuwa poa iwapo tutachukua hatua na sio kuishia kulaumu na kukata tamaa...tushauriane wadau hali si shwari ndg zng
Daaah....maisha haya yananirudisha kuifikiria siku ya kampeni sijui ntamsikiliza nani kwa upuuzi wa sera...mwaka jana bilioni 3 zilitolewa na serikali kwa mikopo ya elimu ya juu.......xo kumamae zao hakuna sera inayotubeba hvyo kupitia mtandao tuchukue hatua
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.