Huu ni uwongo uliokithiri!
hatakama ni kubebwa ushift kutoka 4 hadi 1. Kama umekosa cha kuandika kaa ujipange itakua lamaana na co kukurupuka, poa dogo!
Viboko havina maana yoyote na sio kama vilifutwa ni maneno tu. na mwanafunzi si lazima achapwe viboko ni akili ya mwalimu jinsi alivyo andaliwa na ukaribu wake yeye na mwanafunzi ndio inaweza kumbadili mwanafunzi,lakini kiboko hakuna kitu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.