Recent content by ayunus

  1. A

    Kwanini kuku wanataga sehemu moja? Msaada jamani

    Mimi ni mfugaji wa kuku wa kienyeji sasaivi wamefika mia na hamsini tatizo wanataga sehemu moja wnalalia sehemoja wa tatu kila siku wanachanganya mayai matokeo yake wanayaharibu tu msaada tafadhali.
  2. A

    Msaada:Nama ya kutengeneza banda la kware

    Nilikuwa naomba ushauri wanajamii. Hawa kware unaweza kuwafuga kama kuku namaanisha mabanda yao maana nimeambiwa wanaruka kama ndege je naweza kuwafuga huria yaani banda na wakawawanatoka nje au ni ndani tu kama kuku wa kizungu. Naombeni msaada wenu. Asante.
  3. A

    Ndege aina ya Kware: Kwa mahitaji ya mayai ya Kware, Vifaranga na Kware kwa ajili ya nyama n.k

    Dar upo sehemu gani Na mm nilikuwa nawaitaji wa mbegu maana nafuga kuku nilikuwa nawataka Na hao mm nipo kigamboni magogoni.
  4. A

    Ukiona wenzako wanavyofanya ufugaji wa kuku, Mabanda yao walivyojenga, kwa hakika hutaacha kufuga

    Asante kwa kunionesha hao kuchi mm nilikuwa nawaitaji vigaranga japo wa mwezi mmoja au miwaili majike sita na madume mawaili lkn hawa hao wenye mdomo wa kasuku ndio shida yangu mafuta kuku tofauti tofauti wa kienyeji nilikuwa nawaitaji hao namba yangu Ni 0716428298,nipo Dar-es-salaam magogoni...
  5. A

    Kuku wangu hawaponi mafua ni chotara msaada wadau tafadhali

    Ninaomba msaada wenu wajasiriamali maana nimetumia kila sina ya dawa hata sijui tatizo Ni nn wanakufa kidogokidogo nimesoma topic nyingi na nimezifanyia kazi hapa lkn hata sijui tatizo Ni nn.
Back
Top Bottom