Recent content by aysha jamal

  1. A

    JamiiForums Tanzania Mtaji wa Tsh. Milioni 1 hadi 5: Naweza kufanya Biashara gani Tanzania?

    Nakucheka kwa dharau!! Ila kwasababu hujasoma chuo sikulaumu! Lini nimeandika nasoma degree msomi mm?? Kama haujuwi bsi nikwambie chuo kuna course tafauti zaidi ya degree! Kwa hiyo kwa taarifa yako mm nasoma Diploma sijafika degree bado so ukiongeia juwa unachokiaongelia ni nini! Na kwa taarifa...
  2. A

    JamiiForums Tanzania Mtaji wa Tsh. Milioni 1 hadi 5: Naweza kufanya Biashara gani Tanzania?

    Hongera s Hongera sana mkuu kwa kufanikiwa vizuri! Ni biashara gani unoifania?
  3. A

    JamiiForums Tanzania Mtaji wa Tsh. Milioni 1 hadi 5: Naweza kufanya Biashara gani Tanzania?

    Habari zenu wakuu, Naomba msaada wenu wa kunipa ideas ya jinsi ninavyoweza kupata faida ya atleast laki moja kila siku kwa mtaji ya million 3. Mimi nasoma chuo na nimejibana mpaka nimeupata hiyo mtaji ila nashindwa kujuwa nifanye nini, nawaza biashara ya chips nifunguwe mabanda na niwe napata...
Back
Top Bottom