Testimonial yangu. Nimelipia gari Japan tar 01.01.2022 registration ikiwa DYE hivi almost miezi mitatu baadae tupo DYW.
Hii ina maana DZA - DZZ itahitaji sio chini ya miezi 4 hivi hadi iishe. Jamaa wa BE FORWARD amenipa uzoefu wake kuwa estimations ni August 2022 ndio EAA itaanza.
Ndugu zangu wanaosubiri EAA safari bado mbichi sana. Imagine DY ineanza December na watu walikua na hela ila tupo almost April na bado DY ipo. DZ say itaanza May 2022 tuipe miezi yake minne au mitano hivii.
Una moto sana mkuu. Kila la heri. Angalia shipping schedule, meli ni nyingi sana March unaweza kupindua meza in April[emoji1]
Link hii hapa https://cdn.beforward.jp/assets/pdf/shipping_schedule_africa.pdf
Mimi nimewahi kuvusha gari kwenda nchi nyingine ikiwa na TZ registration. Unachokifanya border ni ku-surrender original docs na unapewa muda wa kurudisha gari nchini. Sasa hizi ni issue za customs. I'm sure ukipitiliza kuna penalties na fines so hiyo issue ya Shetta itakua hivyo.
Angetaka...
Hii nakubali sababu pia registration numbers zinachukua mitambo pia so miradi ikianza especially financial year ikianza namba zinakimbia pia sababu ya importation ya mitambo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.