Recent content by Average Thinker

  1. A

    NMB Tanzania Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri

    Hii benki hamna kitu zaidi ya foleni tu. Hivi ATM zenu zimeshaanza kupokea kadi za VISA?
  2. A

    Vodacom Tanzania: Support thread (Maswali, malalamiko na Ushauri)

    Vodacom mna matatizo makubwa sana. Kwanza Sim Banking haiaminiki. Nahamisha pesa toka benki na zinatoka, linapokuja suala la kusubiri Mpesa ninachoka. Pili, mna tatizo la LUKU. Mteja anakaa sana bila kupata token na akipiga simu anajulishwa kuna matatizo ya kiufundi. Sawa, matatizo yapo, ila...
Back
Top Bottom