Recent content by August

  1. A

    JamiiForums Tanzania Zanzibar: Naibu Waziri wa Vijana, Hassan Khamis: Wanaofanya kazi kwenye Mahotel Zanzibar siyo wazawa inabidi tufanye Mapinduzi

    Moja la Kwanza ni ujuzi kwenye KAZI za uongozi, na zile za Kati na chini wavivu
  2. A

    JamiiForums Tanzania Namba moja na mbili hawapeani mikono; Ndio kama inavyosemwa AU ni dini?

    La kigiriki sio la vatican
  3. A

    JamiiForums Tanzania Prof Mohammed Hassen: Ethiopia anasema waarab(UAE) Wana project ya mda mrefu ya kumiliki bandari zote za Afrika ikiwemo ya Dar. TISS hawajui!?

    Hata vita ya Darfur ni Nia hiyo hiyo ya UAE kumiliki Dhahabu na kuchochea vita vya huko. Hivyo hapa tusubiri hela ya majasusi ili tichague Kiongozi mwenye kuiwezesha Sera za UAE
  4. A

    JamiiForums Tanzania Namba moja na mbili hawapeani mikono; Ndio kama inavyosemwa AU ni dini?

    Lakini naona Viongozi wote hakuwapa Mkono
  5. A

    JamiiForums Tanzania Namba moja na mbili hawapeani mikono; Ndio kama inavyosemwa AU ni dini?

    Hamkopeshi? Yaani papo Kwa papo
  6. A

    JamiiForums Tanzania Namba moja na mbili hawapeani mikono; Ndio kama inavyosemwa AU ni dini?

    Labda kuna moja alikuwa katoka Peramiho na mikono haja nawa
  7. A

    JamiiForums Tanzania Namba moja na mbili hawapeani mikono; Ndio kama inavyosemwa AU ni dini?

    Unajua Mwanamke wa Kiislamu ashikani mkono na mwanaume
  8. A

    JamiiForums Tanzania HOJA Mazungumzo ya kuhamisha Wananchi wa Sinza yasifanyike kwa mafungu hotelini, tushirikishwe na uwazi uwepo

    Kama kuna mwekezaji aonge anataka eneo lenye ukubwa gani? Ramani yake ya eneo husika na huyo mwenyeji, Haki yake ni ipi, sio mtu Yuko gizani? Pili , nini ikiwa sitaki chukua hiyo uongeze uelewa wako, ndio maana tutarudi kule kule mnunuzi na muuzaji, maana hapa kuna (kupoteza na kupata) hakuna...
  9. A

    JamiiForums Tanzania HOJA Mazungumzo ya kuhamisha Wananchi wa Sinza yasifanyike kwa mafungu hotelini, tushirikishwe na uwazi uwepo

    Njia inayotakiwakutumika ni mnunuzi anayetaka akubaliane na muuzaji anayetaka kuuza. Mbona ya mpango miji 8li Ilitakiwa iwe imetangulia .miongo kadha iliyopita kadha iliyopita
  10. A

    JamiiForums Tanzania HOJA Mazungumzo ya kuhamisha Wananchi wa Sinza yasifanyike kwa mafungu hotelini, tushirikishwe na uwazi uwepo

    Huu Mradi unaelekea kufeli kabla haujaanza, huyo mwekezaji aende mwenyewe na aonge na hizo sehemu, nguvu ya pesa yaani malipo yanayo mridhisha muhusika ndio yatakayo muondoa muhusika, ama si yo muwekezaji akatafute pori aanze mji wake , sijaona Mradi kama huu duniani, labda bongo Tu.
  11. A

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Pascal Mayalla: Oktoba 29 vyombo vya dola vilikuwa havina namna, risasi za moto zilitumika kutuliza zile vurugu

    Labda analenga "bahasha" maana TBC ilikuwa shida,hivyo mafao nayo itakuwa shida
  12. A

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Pascal Mayalla: Oktoba 29 vyombo vya dola vilikuwa havina namna, risasi za moto zilitumika kutuliza zile vurugu

    Kwa taarifa hizi huwa kuna bahasha kwa mzungumzaji au hakuna
  13. A

    JamiiForums Tanzania Mbunge Simai: Kuna Yuda Msaliti ndani ya Serikali hili anatafuta huruma kanisani

    Kauli kama hii Kwa Kiongozi wake wa juu, na sio kwenye Kikao ambayo mtuhumiwa hawezi kujitetea, ni dharau Kwa "Yuda" na aliye juu ya "Yuda" isipokuwa kama ametumwa na Aliye juu ya Yuda
  14. A

    JamiiForums Tanzania Pongezi Spika Dkt. Tulia umeonesha uwezo na unaweza! Je, tumshauri Dada Mkubwa, ikimpendeza, ampishe Dada Mdogo kwenye lile jambo letu?

    Kumbe wewe Pachikali, ndio umempoza, ndio maana katemwa hata uchipika
  15. A

    JamiiForums Tanzania Ile shahada yagoma kukaa Kichwani kwa Samia Suluhu, Yadondoka Chini. Warusi Waduwaa🤣🤣

    Itakuwa damu za watu hizo
Back
Top Bottom