Hata vita ya Darfur ni Nia hiyo hiyo ya UAE kumiliki Dhahabu na kuchochea vita vya huko. Hivyo hapa tusubiri hela ya majasusi ili tichague Kiongozi mwenye kuiwezesha Sera za UAE
Kama kuna mwekezaji aonge anataka eneo lenye ukubwa gani? Ramani yake ya eneo husika na huyo mwenyeji, Haki yake ni ipi, sio mtu Yuko gizani?
Pili , nini ikiwa sitaki chukua hiyo uongeze uelewa wako, ndio maana tutarudi kule kule mnunuzi na muuzaji, maana hapa kuna (kupoteza na kupata) hakuna...
Njia inayotakiwakutumika ni mnunuzi anayetaka akubaliane na muuzaji anayetaka kuuza.
Mbona ya mpango miji 8li
Ilitakiwa iwe imetangulia .miongo kadha iliyopita kadha iliyopita
Huu Mradi unaelekea kufeli kabla haujaanza, huyo mwekezaji aende mwenyewe na aonge na hizo sehemu, nguvu ya pesa yaani malipo yanayo mridhisha muhusika ndio yatakayo muondoa muhusika, ama si yo muwekezaji akatafute pori aanze mji wake , sijaona Mradi kama huu duniani, labda bongo Tu.
Kauli kama hii Kwa Kiongozi wake wa juu, na sio kwenye Kikao ambayo mtuhumiwa hawezi kujitetea, ni dharau Kwa "Yuda" na aliye juu ya "Yuda" isipokuwa kama ametumwa na Aliye juu ya Yuda
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.