Metro – End of the line for failing train firms
Labour has pledged it will nationalise the railways should the party prevail at the next election, Metro reports. Shadow transport secretary Louise Haigh told the paper the “current model doesn’t work for anyone”. The plan would see a Great...
Maana maneno haya ya wazawa yalisikika wakati DP weldi walipokuwa wanapingwa kuendesha Bandari , zikatoka hadithi kwamba , Kwanza Bandari wenyewe ni , wachomvi .
Neno makaburi wa Tanzania ni wazawa yapo kwenye Hotuba ya Mwl Nyerere kuhusu Raisi tunayemtaka, na matatizo ya Muungano. Na Ubaguzi...
Unajua Mungu na Sisi Binadamu, na Sheria kama zimetungwa kikamilifu zinaweka njia za kuthibitiana. Lakini bahati Mbaya katiba ambayo ni sheria mama haikuwekwa kuthibitiana Bali kisiasa, hivyo upande moja kuwa na fursa zaidi juu ya upande mwingine. Katiba ya Warioba ingeondoa au kupunguza haya mambo.
Mauritius
The country covers a total area of 790 square miles translating to a population density of 1,601.2 persons per square mile, the highest in Africa. The population density is attributed to the island nation's small area
Zanzibar
Zanzibar Zanzibar (Swahili) زنجبار (Arabic)
• 2022...
Inaweza kuwa vizuri kuzipeleka huko , lakini tatizo la Wizara ya Afya Kwa sasa ni uongozi wake , haujui au hawana Nia ya kutenda KAZI Yao Kwa ufanisi , hivyo hizo hela zinaweza zisi tatue tatizo, ndio maana NHIF na MSD kuna ufisudi na hakuna Mipango yenye ufanisi
In 16 years of power, Angela Merkel did not appoint any of her relatives to a state position.
Germany said goodbye to its leader, physicist and quantum chemist, who was not tempted by fashion or lights and did not buy real estate, cars, yachts and private jets. They came out on their balconies...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.