Recent content by August

  1. A

    Kuna kelele Nyingi za Kuendesha Kwa Reli zetu na kampuni Binafsi sasa huko walianzia mambo si mambo tena

    Metro – End of the line for failing train firms Labour has pledged it will nationalise the railways should the party prevail at the next election, Metro reports. Shadow transport secretary Louise Haigh told the paper the “current model doesn’t work for anyone”. The plan would see a Great...
  2. A

    Makaburi wa Tanzania ni wale wanaojiita wazawa.

    Maana maneno haya ya wazawa yalisikika wakati DP weldi walipokuwa wanapingwa kuendesha Bandari , zikatoka hadithi kwamba , Kwanza Bandari wenyewe ni , wachomvi . Neno makaburi wa Tanzania ni wazawa yapo kwenye Hotuba ya Mwl Nyerere kuhusu Raisi tunayemtaka, na matatizo ya Muungano. Na Ubaguzi...
  3. A

    Mpina ampongeza Rais Samia kwa kumuondoa January Makamba TANESCO, alihusika na ufisadi wa kutisha

    Galanosi Shule ya upili wanasema alikuwa mtu mwema Sana katika kusaidia wenzie kimasomo
  4. A

    Haya mafuriko ya leo Ifakara ni hatari

    Wapi hii
  5. A

    Serikali yatoa Tsh. Bilioni 66 Kurekebisha Miundombinu iliyoharibiwa na mvua

    Yaani huyu Mama siku akiondoka sijui tutaishije. Nafikiri na nchi yetu inapotea au mkoloni atarudi tena.maana hatuwezi.
  6. A

    Mbunge Mohamed Issa: Ajira za Wazanzibar zimechukuliwa na Wageni

    Unajua Mungu na Sisi Binadamu, na Sheria kama zimetungwa kikamilifu zinaweka njia za kuthibitiana. Lakini bahati Mbaya katiba ambayo ni sheria mama haikuwekwa kuthibitiana Bali kisiasa, hivyo upande moja kuwa na fursa zaidi juu ya upande mwingine. Katiba ya Warioba ingeondoa au kupunguza haya mambo.
  7. A

    Mbunge Mohamed Issa: Ajira za Wazanzibar zimechukuliwa na Wageni

    Mauritius The country covers a total area of 790 square miles translating to a population density of 1,601.2 persons per square mile, the highest in Africa. The population density is attributed to the island nation's small area Zanzibar Zanzibar Zanzibar (Swahili) زنجبار (Arabic) • 2022...
  8. A

    Bajeti ya Wizara ya Nishati 2024/25 yapunguzwa kwa karibu nusu ya Bajeti ya mwaka 2023/24

    Inaweza kuwa vizuri kuzipeleka huko , lakini tatizo la Wizara ya Afya Kwa sasa ni uongozi wake , haujui au hawana Nia ya kutenda KAZI Yao Kwa ufanisi , hivyo hizo hela zinaweza zisi tatue tatizo, ndio maana NHIF na MSD kuna ufisudi na hakuna Mipango yenye ufanisi
  9. A

    Katika miaka 16 ya uongozi, Angela Merkel hakumteua ndugu yake yeyote katika nafasi ya uongozi serikalini

    In 16 years of power, Angela Merkel did not appoint any of her relatives to a state position. Germany said goodbye to its leader, physicist and quantum chemist, who was not tempted by fashion or lights and did not buy real estate, cars, yachts and private jets. They came out on their balconies...
  10. A

    Dkt. Dorothy Gwajima ana kitu atafika mbali

    Kwenye Afya kuna bajeti kubwa na mengineyo, hivyo wataalamu wa Kula Kwa urefu wako waliona hatofa hapo
  11. A

    Rais Samia, vyeti feki kwenye taasisi za Umma bado ni tatizo

    Na hili nalo mkaliangalie, Mimi nimemwangalia Mkurugenzi wa Halmashauri ya mafia Kwa taarifa za kuiba utu wa Mtu
Back
Top Bottom