Maana kuna Kiongozi wa Muhimili moja ni Msabato, nilikuwa nategemea pia ni muumini mzuri wa Haki, na kama amepotoka ni matarajio kiongozi wake wa Kiroho kumkubushia wajibu wake
Dini zote kitu cha Kwanza ni kuhubiri Haki, kama za Yatima, Wajane n.k. sasa hivi nchi yetu ina Kesi ya "Uhaini" ambayo Kwa sasa imesimama Kwa muda Mrefu tokea ilipo aanza, hivyo kusababisha Haki za msingi za mtuhumiwa kuvunjwa.
Mtuhumiwa yupo tayari kesi iiendele ili haki iweze kutendeka na...
Wizara za Muungano ni 4
Mambo ya nje
Wizara ya Fedha
Wizara ya Ulinzi
Wizara ya Mambo ya Ndani.
Idadi ya watu sina uhakika kama iliwekwa, ili ilitarajiwa wale serikali ya visiwani inao wahitaji watajumuika na wale Tanganyika itawahitaji, na mchango wa nchi husika katika hazina kuu kama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.