Recent content by August

  1. A

    JamiiForums Tanzania BAKWATA wana ushwawishi na nguvu kubwa kuliko TEC katika siasa za nchi

    Wewe waonaje? au tuje na. Balukta
  2. A

    JamiiForums Tanzania BAKWATA wana ushwawishi na nguvu kubwa kuliko TEC katika siasa za nchi

    Huyu jamaa anataka kukuza mfarajano wa kidini, ili kuutumia kama mbinu ya Kuacha kuangalia madhila ya nchi tuangalie tofauti zetu wezi wapite kwa kasi
  3. A

    JamiiForums Tanzania Kabudi: Mungu akishawapa kiongozi, mumpende mumheshimu, hakujileta mwenyewe

    Kuna Mungu WA Ki- shetani na Mungu anayepingana na ushetani. Sasa huyu Kiongozi wa Prof wa Jalalani ni WA shetani au Mwenye kupinga ushetani. Kama aliyepewa Ni wa upande wa Shetani, basi lazima ajue atapingwa na Mungu mwenye kupenda Haki.
  4. A

    JamiiForums Tanzania Kesi za Mchango unaliweka wapi Jeshi la Polisi, Offisi ya Mwendesha Mashtaka na Mahakama zetu.

    Sasa tatizo hizi kesi zitaleta wawekezaji nà kuwa na Imani, na pia wananchi walio wengi watakuwa na Imani na hizi taasisi. Na Mwisho je uweledi wa mtu mmoja moja na wa kitaasisi una ongezeka au una kufa
  5. A

    JamiiForums Tanzania Kesi za Mchango unaliweka wapi Jeshi la Polisi, Offisi ya Mwendesha Mashtaka na Mahakama zetu.

    Hivi karibuni kumekuwepo na kesi ambazo tunaweza, kusema ni za mchongo, Kwani Hazina uhalisia na tuhuma zinazo chagizwa dhidi ya watuhumiwa iwe ni ugaidi au uhaini . Sasa
  6. A

    JamiiForums Tanzania Mzee Warioba: Kwa manufaa ya umma, kwa nini Tundu Lissu asiachiwe kama watuhumiwa wengine wa uhaini walioachiwa?

    Lakini kumuachilia itaonekana alikuwa ana kosa wakati hana.
  7. A

    JamiiForums Tanzania Tuanze na Malori, yaishie Pwani kwenye Dry port , badala ya kupambana na wenye mabasi, kwenda Mbezi!

    Kwani aliyetoa Mwongozo haoni au hajui shida ni nini , ingawa na kwenye Mabasi hata kama ni karibu na offisi zao, bado pale shekilango ni padogo, na Wana haribu sehemu hiyo labda wote wanaoegesha sehemu hiyo wapige zege la nguvu na waegeshe Kwa mpangilio, sio sehemu inaonekana ni pachafu
  8. A

    JamiiForums Tanzania Tuanze na Malori, yaishie Pwani kwenye Dry port , badala ya kupambana na wenye mabasi, kwenda Mbezi!

    Na mizigo iliyopo mijini itolewe Kwa Treni Hadi nje ya mji
  9. A

    JamiiForums Tanzania Kabudi: Mungu akishawapa kiongozi, mumpende mumheshimu, hakujileta mwenyewe

    Angefanya uchafuzi wa haki
  10. A

    JamiiForums Tanzania Barua ya Mahakama Kuu Yazua Mjadala: Je, Katazo kwa Mawakili Linakiuka Uhuru wa Kujieleza Chini ya Ibara ya 18 na Kuvunja Ibara nyinginezo za Katiba?

    Kwanza Nataka kusoma hizo taasisi za 4 za ujerumani au Singapore.
  11. A

    JamiiForums Tanzania Msumari wa TEC: Mambo Muhimu Yaliyojiri Kwenye Mkutano wa Hivi Karibuni wa TEC (Agosti 2026)

    ".......na Kuacha mambo ambayo yanaweza kugawa wananchi" Iwe Kwa sehemu unayotoka, dini, asili yako n.k
  12. A

    JamiiForums Tanzania Barua ya Mahakama Kuu Yazua Mjadala: Je, Katazo kwa Mawakili Linakiuka Uhuru wa Kujieleza Chini ya Ibara ya 18 na Kuvunja Ibara nyinginezo za Katiba?

    Je kuna mfano halisi ya kuwepo taasisi kama hiyo nchi zingine. Na kama hazipo wao wanafanikiwa kivipi, Mahali ambapo Sisi tuna feli
  13. A

    JamiiForums Tanzania Kwa wapinzani wenzetu hivi nyie hamli, hamnywi, hamfanyi mazoezi?

    Kubwa .......akiwa kazi i
  14. A

    JamiiForums Tanzania Yaliyojiri Leo mahakamani kwenye kesi ya mchongo ya TUNDU LISSU..soma hapa

    Hii kesi imekuwa kule kwetu Malawi kuleta shahidi mmoja , ina Faida mbili kwa baadhi Yao na hasara mbili Kwa wengine. Faida ni allowance wanazopata, pili , Faida ya kuendelea kumuweka mahabusu wao. Hasara Kwa upande mwingine ni Kwa mtuhumiwa kuendelea kukaa mahabusu. Na nchi ya Malawi...
  15. A

    JamiiForums Tanzania Waitara: Tatizo kubwa la nchii ni rushwa na imekithiri siku za hivi karibuni. TAKUKURU wapo kila mahali kwanini hawakamati wanaotoa rushwa?

    Linaanzia na wanasiasa Wanao hama hama vyama Kwa ujira wa kuwauza wenzao
Back
Top Bottom