Kuna Mungu WA Ki- shetani na Mungu anayepingana na ushetani. Sasa huyu Kiongozi wa Prof wa Jalalani ni WA shetani au Mwenye kupinga ushetani.
Kama aliyepewa Ni wa upande wa Shetani, basi lazima ajue atapingwa na Mungu mwenye kupenda Haki.
Sasa tatizo hizi kesi zitaleta wawekezaji nà kuwa na Imani, na pia wananchi walio wengi watakuwa na Imani na hizi taasisi. Na Mwisho je uweledi wa mtu mmoja moja na wa kitaasisi una ongezeka au una kufa
Hivi karibuni kumekuwepo na kesi ambazo tunaweza, kusema ni za mchongo, Kwani Hazina uhalisia na tuhuma zinazo chagizwa dhidi ya watuhumiwa iwe ni ugaidi au uhaini .
Sasa
Kwani aliyetoa Mwongozo haoni au hajui shida ni nini , ingawa na kwenye Mabasi hata kama ni karibu na offisi zao, bado pale shekilango ni padogo, na Wana haribu sehemu hiyo labda wote wanaoegesha sehemu hiyo wapige zege la nguvu na waegeshe Kwa mpangilio, sio sehemu inaonekana ni pachafu
Hii kesi imekuwa kule kwetu Malawi kuleta shahidi mmoja , ina Faida mbili kwa baadhi Yao na hasara mbili Kwa wengine.
Faida ni allowance wanazopata, pili , Faida ya kuendelea kumuweka mahabusu wao.
Hasara Kwa upande mwingine ni Kwa mtuhumiwa kuendelea kukaa mahabusu.
Na nchi ya Malawi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.