Recent content by August

  1. A

    Viongozi wa Bunge wanapaswa kuwa wenye afya njema, mkiweka vimeo mtalitia hasara Taifa

    Hamtakubali kivipi, na sasa hivi wapo huko.
  2. A

    Kamati ya Dino na Maridhiano Hawana la Kusema au kushauri suala la Lissu

    Maana kuna Kiongozi wa Muhimili moja ni Msabato, nilikuwa nategemea pia ni muumini mzuri wa Haki, na kama amepotoka ni matarajio kiongozi wake wa Kiroho kumkubushia wajibu wake
  3. A

    Pendekezo: Kitengo cha mipango miji na taaluma ya mipango miji vifutwe haraka sanahapa Tanzania

    Kufutwa sawa, lakini suala kina kuja baada ya kufutwa inakuwaje. ?? Tunaenda hole hobela au sasa tutaenda Kwa kufuata taratibu
  4. A

    Kamati ya Dino na Maridhiano Hawana la Kusema au kushauri suala la Lissu

    Dini zote kitu cha Kwanza ni kuhubiri Haki, kama za Yatima, Wajane n.k. sasa hivi nchi yetu ina Kesi ya "Uhaini" ambayo Kwa sasa imesimama Kwa muda Mrefu tokea ilipo aanza, hivyo kusababisha Haki za msingi za mtuhumiwa kuvunjwa. Mtuhumiwa yupo tayari kesi iiendele ili haki iweze kutendeka na...
  5. A

    Kama viongozi hawana maadili unategemeaje vijana wawe na maadili?

    Kwa ufupi samaki huoza kuanzia kichwani
  6. A

    Ili kuondoa dhana ya uchawa, Prof Kabudi ajiuzulu kama Yule wa US

    Kassanga Tumbo alifanyia hivyo na Humphrey Pole pole
  7. A

    Ili kuondoa dhana ya uchawa, Prof Kabudi ajiuzulu kama Yule wa US

    Hii ndio Barua ya kujiuzulu Kwa Kiongozi WA US
  8. A

    Ili kuondoa dhana ya uchawa, Prof Kabudi ajiuzulu kama Yule wa US

    Huko US, kuna kiongozi WA counter intelligence ame jiuzulu na kupinga us kuipiga vita Iran, Kwani Iran sio tishio Kwa U.s
  9. A

    Waziri Mkuu, Wasaidie hii familia kwenye shauri la mirathi wasije kukatana mapanga

    Kama aliwapa kabla na kitu hiko hiko akakiweka kwenye wasía sasa mapungufu yapo wapi??
  10. A

    Waziri Mkuu, Wasaidie hii familia kwenye shauri la mirathi wasije kukatana mapanga

    Sasa hao wamewezaje kuuza Mali wakati muafaka haujafukiwa WA hizo mali, au hivyo nilivyo uzwa vilikuwa na Majina ya wauzaji.
  11. A

    Katambi: Machafuko na uhalifu unaoendelea leo duniani unatokana na mmomonyoko wa maadili

    Samaki huoza kuanzia kichwani, Kwa hiyo juu ya Hilo unataka kutuambia nini ,
  12. A

    Wizara zipi si za kimuungano?

    Wizara za Muungano ni 4 Mambo ya nje Wizara ya Fedha Wizara ya Ulinzi Wizara ya Mambo ya Ndani. Idadi ya watu sina uhakika kama iliwekwa, ili ilitarajiwa wale serikali ya visiwani inao wahitaji watajumuika na wale Tanganyika itawahitaji, na mchango wa nchi husika katika hazina kuu kama...
  13. A

    Heche adai mahakama inatumika kumkandamiza Lissu

    Na Ukumbuke kuna "Sabato"
Back
Top Bottom