Recent content by athury92

  1. athury92

    Chelsea Vs Liverpool

    Liverpool inaendelea kukabiliwa na mechi ngumu Ijumaa, watakapozuru Chelsea kwa mchezo wao wa nne ugenini, wa tano kwa ujumla kwenye Ligi Kuu Uingereza. Habari kuu zilizoenea kutoka kwenye mkutano wa Jürgen Klopp na waandishi ni Mjerumani huyo kubainisha kuwa Emre Can amerejea mazoezini lakini...
  2. athury92

    Kituko:Baada ya Yanga kukodi daladala jana

    Kitendo cha Yanga kukodi daladala kama usafiri wao kutoka uwanja wa ndege Mwanza kimezua gumzo kwenye vyomba vya habari na mtandaoni Klabu ya Yanga tayari imewasili mkoani Shinyanga kwa ajili ya pambano lake la Jumamosi dhidi ya Mwadui FC, na ule wa Jumatano dhidi ya Stend United. Yanga ambao...
Back
Top Bottom