Habarini za kazi wadau!
Kwa aliefanikiwa kufungua account ya kuombea mkopo wa vyuo bodi ya mikopo anisaidie, nashindwa kufungua account pale kwenye kipengele cha kuset password baada ya kuset password yangu inagoma kusubmit inaload kwa muda mrefu sana unaweza ukaisubiria hata nusu saa lakini...
Habari zenu wakuu,
Naombeni msaada kwenye kutuma maombi ya uhakiki wa cheti cha kuzaliwa RITA. Pale kwenye kipengele cha kukituma cheti inagoma kabisa ku attach file yani kila ni ki click pale kwenye ku choose file haiendi popote inabaki pale pale na mtandao uko vizuri kabisa hauna shida...
samahan wakubwa hivi kwamfano umepata chuo cha private udaktari na mkopo ukapata asilimia100% je serkal hapo itakulipia shi ngapi ili na ww uongezee hio itakayobak maana kuna wengine wanasema M3 wengine M1.8 ipi ndo yenyewe
naombeni msaada wakubwa hiv kwamfano umeomba chuo cha private udaktari na ukafanikiwa kupata na mkopo nao ukapata asilimia 100% je serikali itaweza kukulipia itakulipia ada kiasi gan ili hio inayobaki uongezee mwenyewe maana kuna wengine wanasema itakulipia milion 3.1 wengine 1.8 kulingana na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.