Kama neno lilivyo BULK SMS, hizi ni msg ambazo zinatumwa kwa wingi kwa madhumuni tofauti. Kama vile kutoa taarifa, kukumbusha kitu, promotion etc...., mara nyingi msg hizi zinatumiwa na Taasisi, Makampuni, Kanisa, Hospital etc...
Gharama zinapungua kadri namba ya msg inavyokuwa kubwa, bei kubwa...