Recent content by assenga23

  1. A

    JamiiForums Tanzania Watanzania ni watu wa ajabu sana!, Wanamwaminije Gwajima kuliko Rais wao?

    Nyie huyu anaedai kuwa raisi wetu anajua ukweli kuhusu bashite pia munaitaji kwenda kuombewa na gwaijima[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2] bcs mm nikisingiziwa nimegushi vyeti sitalia bali nitaonesha vyeti vyangu vya form 4 nilivopata 4 wala sintaficha sasa kuna ugumu gani kutuonesha vyake...
  2. A

    JamiiForums Tanzania Makonda: Watuhumiwa madawa ya kulevya kuanza kupandishwa kizimbani leo au kesho

    Sio kama anawajua anawajua na hawezi kuwafanya chochote hata kuwagusa
  3. A

    JamiiForums Tanzania Tundu Lissu: Kuwataja Vidagaa na kuwaacha Nyangumi/papa si ajabu ni moja kati ya mambo ya hovyo

    Makonda mm navomchukulia ni hana tofauti na ney wa mitego yani anachowaza yeye ni kuandikwa kwenye media tu na kuongelewa Sent from my SM-J500F using JamiiForums mobile app
  4. A

    JamiiForums Tanzania Tundu Lissu: Kuwataja Vidagaa na kuwaacha Nyangumi/papa si ajabu ni moja kati ya mambo ya hovyo

    Kwa anachokiongea lissu ni maoni tu kama sisi tunavyotoa umu na hawezi kuwa mnafiki kwa sababu mheshimiwa jk ndio alisema mwenyewe kuwa anayo hayo majina ila hakuyataja so dats means mimi na wewe na lissu hatuyajui bcs hatuna ila uyo makonda kama kweli sio mnafiki na ana nia ya kuthibiti basi...
Back
Top Bottom